Wafuga nyuki watakiwa kulinda misitu
WAFUGA nyuki nchini wametakiwa kutunza vema misitu iliyopo ili iweze kuwasaidia ipasavyo katika shughuli zao za ufugaji nyuki.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLAIRTEL FURSA YAWAWEZESHA WAFUGA NYUKI WA MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rZGcwBda_8g/VVH7nk9ByCI/AAAAAAAAAiM/91d77aHgo5g/s72-c/IMG_9384.jpg)
WAKALA WA MISITU WAHAMASISHA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA NYUKI.
Hayo yamezungumzwa na Afisa ufugaji nyuki mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Mwanahamisi Mapolu wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.
Mapolu amesema kuwa wawekezaji wajikite zaidi katika usimamiaji wa viwanda vitakavyozalisha...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Watakiwa kuongeza uzalishaji nyuki
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8VsnR1ILNHs/Xk_Z-a_lXdI/AAAAAAALerc/y39HhSHTLzEkHsgbJXfwnY7ls3G5GxvFACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200221_100245.jpg)
Jumuiya za CCM Watakiwa kuanzisha miradi ya nyuki
![](https://1.bp.blogspot.com/-8VsnR1ILNHs/Xk_Z-a_lXdI/AAAAAAALerc/y39HhSHTLzEkHsgbJXfwnY7ls3G5GxvFACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_100245.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-u4XDO9bRSp4/Xk_Z-NBTjcI/AAAAAAALerY/nGGZlJYuVFo3l194zQBDsI-jtiTzQ8MNACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_100808.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tGekAAhW6kM/Xk_Z-d3avfI/AAAAAAALerg/MD48jm58cEQW0oC1QxrjbTGNq5Qmcz-QQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_101209.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ep_QnQb8Oyc/VJIBXKAvdMI/AAAAAAAG3_c/fxTRZlEmVr4/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WANASIASA WATAKIWA KUTOSHIRIKI KATIKA USHAWISHI WA UHARIBIFU WA MISITU NA MAZINGIRA NCHINI
11 years ago
Mtanzania30 Jul
Waislamu watakiwa kulinda amani
![Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Mohamed-Gharib-Bilal.jpg)
Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal
MANENO SELANYIKA NA ASIFIWE GEORGE
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amewataka Waislamu kote nchini kuhakikisha wanadumisha amani na umoja.
Mbali na kutoa wito huo, Dk. Bilal alilaani mauaji yaliyotokea nchini Palestina na kuwataka viongozi wote duniani kukaa na kujadili namna ya kurejesha amani hiyo.
Kauli hiyo aliitoa jana kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Issa Shaaban Simba, katika ibada maalumu ya Sikukuu ya Idd El Fitri,...
10 years ago
Habarileo01 Mar
Watanzania watakiwa kulinda amani, utulivu
WATANZANIA wametakiwa kulinda amani ya nchi kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo ili kuliletea taifa maendeleo.
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Wafanyabiashara Mbeya watakiwa kulinda amani
WAFANYABIASHARA mkoani Mbeya wametakiwa kutambua kwamba jukumu la kudumisha na kulinda amani linawahusu badala ya kuamini kwamba kulipa kodi ndiyo shughuli pekee ya kuisaidia nchi. Hayo yalibainshwa hivi karibuni na...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Wananchi watakiwa kulinda maeneo ya ardhioevu
WANANCHI wanaoishi kando ya maeneo ya ardhioevu na sehemu ambazo mito inakutana na bahari, wamehimizwa kuzingatia matumizi bora ya maeneo hayo, ili yasilete madhara ya mali, uhai wao na uharibifu...