Ufaulu wa walimu waongezeka
Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya Ualimu huku kiwango cha ufaulu ukionyesha kuongezeka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Ufaulu ngazi ya CPA waongezeka
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Ufaulu somo la Kiislamu waongezeka
KIWANGO cha ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani wa elimu ya dini ya Kiislamu Agosti 13 mwaka huu kimeongezeka kwa asilimia 46 ukilinganishwa na mwaka jana. Hayo yalibainishwa jana jijini Dar...
9 years ago
StarTV19 Dec
Ufaulu kwa wanafunzi waongezeka Dar
Idadi ya wanafunzi waliohitimu darasa la saba mwaka huu imepanda katika mkoa wa DAR ES SALAAM kutoka asilimia 78 mwaka 2014 hadi asilimia 83 mwaka 2015.
Hata hivyo mkoa huo ulikuwa na jumla ya wanafunzi wanaohitimu darasa la saba 59,704 waliosajiliwa kufanya mtihani na wanafunzi 715 hawakufanya mtihani kwa sababu mbalimbali zikiwemo utoro,vifo,ugonjwa na nyengine.
Idadi ya wanafunzi waliofaulu mtihani ni 49,063 wakiwemo wavulana 23,458 na wasichana 25,605 sawa na asilimia 83.17 mwaka huu...
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Matokeo kidato cha sita yatangazwa, ufaulu waongezeka
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Motisha kwa walimu kuongeza ufaulu
KUTOTOLEWA kwa motisha kwa walimu na wanafunzi katika shule za sekondari, ni kati ya sababu zinazosababisha shule nyingi kufanya vibaya katika matokeo ya mitihani ya taifa nchini. Mkurugenzi wa Elimu...
10 years ago
VijimamboWAZAZI WATAKIWA KUWASAIDIA WALIMU KUONGEZA UFAULU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NeZSb8inmZg/XsNwbcdl5GI/AAAAAAALqtU/fB7I1rBmzecoLfLGFJIJnH212rT3ZKKxwCLcBGAsYHQ/s72-c/873cfe13-d758-4251-8b9e-f44638d623d6.jpg)
JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI
Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .
Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.
Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni