Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufaulu ngazi ya CPA waongezeka

Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA), imesema watahiniwa wa shahada ya juu ya ukaguzi nchini CPA-(T) imeongezeka kutoka 478 mwaka 1975 na kufikia 5,646, mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ufaulu wa walimu waongezeka

Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya Ualimu huku kiwango cha ufaulu ukionyesha kuongezeka.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ufaulu somo la Kiislamu waongezeka

KIWANGO cha ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani wa elimu ya dini ya Kiislamu Agosti 13 mwaka huu kimeongezeka kwa asilimia 46 ukilinganishwa na mwaka jana. Hayo yalibainishwa jana jijini Dar...

 

9 years ago

StarTV

Ufaulu kwa wanafunzi waongezeka Dar

Idadi ya wanafunzi waliohitimu darasa la saba mwaka huu imepanda katika mkoa wa DAR ES SALAAM kutoka asilimia 78 mwaka 2014 hadi asilimia 83 mwaka 2015.

Hata hivyo mkoa huo ulikuwa na jumla ya wanafunzi wanaohitimu darasa la saba 59,704 waliosajiliwa kufanya mtihani na wanafunzi 715 hawakufanya mtihani kwa sababu mbalimbali zikiwemo utoro,vifo,ugonjwa na nyengine.

 

Idadi ya wanafunzi waliofaulu mtihani ni 49,063 wakiwemo wavulana 23,458 na wasichana 25,605 sawa na asilimia 83.17 mwaka huu...

 

10 years ago

Mwananchi

Matokeo kidato cha sita yatangazwa, ufaulu waongezeka

>Baraza la Mitihani nchini Necta leo limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na kusema kuwa umefaulu umeongezeka kwa asilimia 0.61.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CPA kufunguliwa na Kikwete

RAIS Jakaya Kikwete, anatazamiwa kufungua mkutano wa 45 wa Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika unaojumuisha wajumbe 500 kutoka nchi 17 wanachama. Miongoni mwa mambo...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

CPA kuwa ya kimataifa?


Na Mwandishi Wetu, Arusha
KAMATI ya wawakilishi wa mabunge wanachama  wa Jumuia ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) inatarajia kuwasilisha ripoti yenye mapendekezo ya kutaka Bunge hilo liwe na mwonekano wa kimataifa.
Ripoti hiyo itawasilishwa katika mkutano mkuu wa 45 unaofanyika mjini Arusha.
Uamuzi wa kuwasilishwa kwa ripoti hiyo ulifikiwa jana na kamati ya wawakilishi wa mabunge wanachama wa umoja huo,  iliyoketi katika ukumbi wa mikutano kwenye hoteli ya  Ngurdoto.
Akizungumza katika kikao cha...

 

10 years ago

Habarileo

Wenye CPA sasa wafikia 6,002

JUMLA ya watahiniwa 356 wamefaulu mtihani wa shahada ya juu ya uhasibu nchini (CPA) na kufanya watahiniwa waliofaulu mitihani hiyo kufikia 6,002 tangu mitihani hiyo ilipoanza mwaka 1975.

 

10 years ago

Michuzi

Ujumbe wa CPA watembelea Bunge la Singapore

Kiongozi wa Msafara wa Ujumbe wa CPA Kanda ya Afrika Mhe Zitto Kabwe akiwasilisha ujumbe maalum wa CPA kwa Bunge la Singapore ambayo ilipokelewa na Dr Lam Pin Min ambae pia ni Naibu Waziri wa Afya wa Singapore na Mwakilishi wa CPA Kanda ya Asia Kusini(kulia).Ujumbe wa CPA katika mazungumzo na Uongozi wa CPA Bunge la Singapore. Picha ya pamoja. Picha kwa hisani ya Ofisi ya Bunge.

 

11 years ago

Michuzi

Wabunge wa CPA Tanzania watembelea Hifadhi za Taifa

 Afisa Utalii wa Hifadhi ya Ziwa Manyara,Jully Lyimo(wa pili kushoto)akiwaongoza Wabunge wa Chama cha Wabunge la Jumuiya ya Madola(CPA)tawi la Tanzania na Maafisa wa Bunge waliotembelea Hifadhi hiyo  Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge la Jumuiya ya Madola(CPA)tawi la Tanzania,Mheshimiwa Mussa Zungu akiwa na Wajumbe wa Bunge hilo na Maafisa wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania  kwenye Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara, wakiwa kwenye ziara ya tathmini ya Maandalizi ya Mkutano wa 45 wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani