Ufaulu ngazi ya CPA waongezeka
Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA), imesema watahiniwa wa shahada ya juu ya ukaguzi nchini CPA-(T) imeongezeka kutoka 478 mwaka 1975 na kufikia 5,646, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Ufaulu wa walimu waongezeka
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Ufaulu somo la Kiislamu waongezeka
KIWANGO cha ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani wa elimu ya dini ya Kiislamu Agosti 13 mwaka huu kimeongezeka kwa asilimia 46 ukilinganishwa na mwaka jana. Hayo yalibainishwa jana jijini Dar...
9 years ago
StarTV19 Dec
Ufaulu kwa wanafunzi waongezeka Dar
Idadi ya wanafunzi waliohitimu darasa la saba mwaka huu imepanda katika mkoa wa DAR ES SALAAM kutoka asilimia 78 mwaka 2014 hadi asilimia 83 mwaka 2015.
Hata hivyo mkoa huo ulikuwa na jumla ya wanafunzi wanaohitimu darasa la saba 59,704 waliosajiliwa kufanya mtihani na wanafunzi 715 hawakufanya mtihani kwa sababu mbalimbali zikiwemo utoro,vifo,ugonjwa na nyengine.
Idadi ya wanafunzi waliofaulu mtihani ni 49,063 wakiwemo wavulana 23,458 na wasichana 25,605 sawa na asilimia 83.17 mwaka huu...
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Matokeo kidato cha sita yatangazwa, ufaulu waongezeka
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
CPA kufunguliwa na Kikwete
RAIS Jakaya Kikwete, anatazamiwa kufungua mkutano wa 45 wa Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika unaojumuisha wajumbe 500 kutoka nchi 17 wanachama. Miongoni mwa mambo...
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jul
CPA kuwa ya kimataifa?
Na Mwandishi Wetu, Arusha
KAMATI ya wawakilishi wa mabunge wanachama wa Jumuia ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) inatarajia kuwasilisha ripoti yenye mapendekezo ya kutaka Bunge hilo liwe na mwonekano wa kimataifa.
Ripoti hiyo itawasilishwa katika mkutano mkuu wa 45 unaofanyika mjini Arusha.
Uamuzi wa kuwasilishwa kwa ripoti hiyo ulifikiwa jana na kamati ya wawakilishi wa mabunge wanachama wa umoja huo, iliyoketi katika ukumbi wa mikutano kwenye hoteli ya Ngurdoto.
Akizungumza katika kikao cha...
10 years ago
Habarileo17 Jan
Wenye CPA sasa wafikia 6,002
JUMLA ya watahiniwa 356 wamefaulu mtihani wa shahada ya juu ya uhasibu nchini (CPA) na kufanya watahiniwa waliofaulu mitihani hiyo kufikia 6,002 tangu mitihani hiyo ilipoanza mwaka 1975.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AsFcQ-URt0M/VBgfkOlhfrI/AAAAAAAGj7U/ngnKZfXdZGo/s72-c/IMG_20140916_135211.jpg)
Ujumbe wa CPA watembelea Bunge la Singapore
![](http://2.bp.blogspot.com/-AsFcQ-URt0M/VBgfkOlhfrI/AAAAAAAGj7U/ngnKZfXdZGo/s1600/IMG_20140916_135211.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2TcsuNYIxJs/VBgfkM5gqyI/AAAAAAAGj7Y/QGwaV8gYH3k/s1600/IMG_20140916_135405.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PORsXy-7oGA/VBgfkkwzwgI/AAAAAAAGj7c/AzOqrKihB0I/s1600/IMG_20140916_142352.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mMm1LB7RK08/U7Ji3J7CjmI/AAAAAAAFt38/JV0wpYdm4l4/s72-c/unnamed+(15).jpg)
Wabunge wa CPA Tanzania watembelea Hifadhi za Taifa
![](http://2.bp.blogspot.com/-mMm1LB7RK08/U7Ji3J7CjmI/AAAAAAAFt38/JV0wpYdm4l4/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UmVIfR3I14M/U7Ji3Cdpi2I/AAAAAAAFt3g/usxtShM838U/s1600/unnamed+(17).jpg)