CPA kuwa ya kimataifa?
Na Mwandishi Wetu, Arusha
KAMATI ya wawakilishi wa mabunge wanachama wa Jumuia ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) inatarajia kuwasilisha ripoti yenye mapendekezo ya kutaka Bunge hilo liwe na mwonekano wa kimataifa.
Ripoti hiyo itawasilishwa katika mkutano mkuu wa 45 unaofanyika mjini Arusha.
Uamuzi wa kuwasilishwa kwa ripoti hiyo ulifikiwa jana na kamati ya wawakilishi wa mabunge wanachama wa umoja huo, iliyoketi katika ukumbi wa mikutano kwenye hoteli ya Ngurdoto.
Akizungumza katika kikao cha...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iM6nZUUaDa5r5tBDLorXHWLHXceqbM2huKIjZjSniXH198B7F0jdeJm8DPW2QDtdUem5B*uadZZCVSBD7xw0ugV3KU5yeQO9/IMG20150303WA0009.jpg?width=650)
BELLE 9 KUWA KIMATAIFA ZAIDI!
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Ndoto zangu ni kuwa msanii wa kimataifa
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
WHO yatangaza coronavirus kuwa janga la kimataifa
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
IMF kuidhinisha Yuan kuwa sarafu ya kimataifa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMkP_xYitWw/VQKWqX4oI-I/AAAAAAAHKBk/tjb2xOakgbE/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Tanzania kuwa mwenyeji Tamasha la Kimataifa la Lugha na Utamaduni
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMkP_xYitWw/VQKWqX4oI-I/AAAAAAAHKBk/tjb2xOakgbE/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Diamond Platnumz: Bila Kiingereza huwezi kuwa wa kimataifa
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, amesema kuwa lugha ya Kiingereza ni lazima kwa msanii anayetaka kuwa wa kimataifa.
Diamond alipokuwa kwenye mahafali ya darasa la saba Shule ya Rightway, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, alisema
lugha hiyo ilimpa hofu wakati alipokuwa akitaka kufikia soko la kimataifa.
“Mwaka jana nilipata mwaliko wa kutumbuiza kwenye jumba la Big Brother, Babu Tale, akaniambia baada ya onyesho nitafanyiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb9nPGbjmZ*b-i3fojL*rmvv0Vsp*T06zX-jcNsEjzxvLdH2r4BklDvYZWe8Nua0LB2kaDLj47tJNkMjrGEvzhIM/JK.jpg?width=650)
JK ATUNUKIWA TUZO NYINGINE YA KIMATAIFA, NI YA KUWA NYOTA WA DEMOKRASIA AFRIKA
9 years ago
Bongo521 Oct
Msanii anayetaka kuwa wa kimataifa ni lazima ajue kiingereza — Diamond
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--1r92oX1rO0/U_X2NS38reI/AAAAAAAGBLY/-ZMZhts9VHo/s72-c/unnamed%2B(89).jpg)
Waziri Mkuu kuwa mgeni rasmi mashindano ya Kimataifa ya Wushu
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano ya Kimataifa ya mchezo wa Wushu (Kung fu) yatakayofanyika hapa nchi kuanzia tarehe 30 hadi 31 katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Hayo yamebainishwa na Rais wa Chama cha Mchezo wa Wushu nchini Mwalami Mitete alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Katika taarifa yake Mwalami alisema kuwa mashindano hayo yatajumuisha...