Ndoto zangu ni kuwa msanii wa kimataifa
Burudani ni suala muhimu katika maisha ya kila siku, kwa upande mwingine pia ni ajira kwa baadhi ya vijana . Kundi kubwa la vijana limekuwa likitamani kuingia katika fani hiyo na kuwa wasanii ili
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies01 Nov
Ndoto Zangu Zimefika Kimataifa— Godliver
NYOTA wa filamu ya Aisha na tamthilia ya Siri ya Mtungi Godliver Godian ‘Aisha’ amefunguka kwa kusema kuwa ndoto zake ambazo amekuwa akipigania toka kuanza kwake kwa sana anaona sasa zimefunguka kwa kushiriki katika kazi kubwa akianzia na Siri ya Mtungi na filamu ya Aisha.
“Nashukru Mungu kwa kunifungulia milango nimepigana sana katika tasnia ya filamu na lengo kuu ilikuwa kucheza filamu kimataifa na nimefikia huko baada ya kucheza sinema kubwa kama Aisha ni hatua kubwa sana baada ya...
9 years ago
Bongo521 Oct
Msanii anayetaka kuwa wa kimataifa ni lazima ajue kiingereza — Diamond
9 years ago
Bongo521 Sep
Bobi Wine asema hana mpango wa kwenda kimataifa, anaridhika kuwa msanii wa ndani
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Makonda: Vurugu zilizima ndoto zangu
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-FzSnDwlnNpU/VXce905JnKI/AAAAAAAAfs8/NMafMEUqZ7g/s72-c/dr%2Bmalecela%2B3.jpg)
Dkt Mwele: Kutoka binti mwenye ndoto kuwa mtafiti hadi mwanasayansi wa kimataifa hadi mwania #Urais2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-FzSnDwlnNpU/VXce905JnKI/AAAAAAAAfs8/NMafMEUqZ7g/s640/dr%2Bmalecela%2B3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
JAMES CHIMWINGA ‘AMOUR’: Msanii mwenye ndoto ya kuwaunganisha chipukizi
TANZANIA ni miongoni mwa nchi inayokuja kasi katika suala la muziki hasa wa kizazi kipya ambako kila wakati kumekuwepo na vipaji vipya vinavyoibuka. Hata hivyo kutokana na kuongezeka kwa teknolojia...
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Nalimi Mayunga: Ndoto yangu kimataifa imetimia
NA KOKU DAVID
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Nalimi Mayunga ambaye ni mshindi wa shindano la ‘Airtel Trace Music Stars Afrika’, amesema hatawaangusha Watanzania na kwamba ataipeperusha vizuri bendera ya Tanzania nchini Marekani.
Msanii huyo ameondoka jana kuelekea nchini Marekani ambako atafanya kazi na nguli wa muziki wa Rnb duniani, Aliaume Damala ‘Akon’ na atakaa huko kwa wiki moja.
Akizungumza jijini Dar es Salaam kabla ya kuondoka, Mayunga alisema kuwa ndoto yake ya kufanya kazi ya...
9 years ago
Bongo520 Oct
Msanii kuwa na tuzo chache haimaanishi kuwa hafanyi vizuri — Vanessa Mdee