Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BELLE 9 KUWA KIMATAIFA ZAIDI!

Staa anayesumbua kwa sasa na Kibao cha Shauri Zao, Abedinego Damian ‘Belle 9’. Boniphace NgumijeNGUMIJE
STAA anayesumbua kwa sasa na Kibao cha Shauri Zao, Abedinego Damian ‘Belle 9’ amefunguka kuwa kufuatia wimbo wake huo kuanza kufanya vizuri kimataifa ikiwa ni pamoja na kuchezwa kwenye vituo mbalimbali vya televisheni ikiwemo Trace Urban kumemfanya apate mzuka wa kuandaa kazi nyingine kali ambayo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Belle 9 amtambulisha Dj Summer wa EA Radio kuwa ndiye Dj wake rasmi

Belle99

Kuna mabadiliko mengi ambayo tumeyashuhudia kwa muda mfupi kwenye muziki wa Belle 9 pamoja na utendaji wa kazi zake toka aanze kufanya kazi chini ya kampuni yake ya Vitamin Music.

Belle99

Kwa mara ya kwanza video yake ‘Shauri Zao’ ilichezwa na Trace Urban, amepata dili la ubalozi, video yake mpya ‘Burger Movie Selfie’ nayo imeanza kuoneshwa na Trace Urban wiki hii.

Kingine kipya, Belle 9 amemtambulisha Dj Summer wa East Africa Radio/TV kuwa ndio atakuwa Dj wake rasmi kwenye show zake. Belle...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yajifua kimataifa zaidi

Baada ya kupata tiketi ya kucheza katika michuano ya Kombe la Washindi barani Afrika,Yanga wanaboresha kikosi chao kimataifa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi

mabomba ya gesi

Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.

Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

CPA kuwa ya kimataifa?


Na Mwandishi Wetu, Arusha
KAMATI ya wawakilishi wa mabunge wanachama  wa Jumuia ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) inatarajia kuwasilisha ripoti yenye mapendekezo ya kutaka Bunge hilo liwe na mwonekano wa kimataifa.
Ripoti hiyo itawasilishwa katika mkutano mkuu wa 45 unaofanyika mjini Arusha.
Uamuzi wa kuwasilishwa kwa ripoti hiyo ulifikiwa jana na kamati ya wawakilishi wa mabunge wanachama wa umoja huo,  iliyoketi katika ukumbi wa mikutano kwenye hoteli ya  Ngurdoto.
Akizungumza katika kikao cha...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga sasa wawazia kimataifa zaidi

YANGA inaongoza Ligi Kuu Tanzania Bara, hali inayompa kiburi Katibu Mkuu wa klabu hiyo kusema kuwa sasa wanajipanga kimataifa zaidi.

 

10 years ago

Habarileo

Deluxe ya TRL ni ya kimataifa zaidi na salama

TRENI mpya ya kisasa (Deluxe) ya Kampuni ya Reli nchini (TRL) imetajwa kuwa ni miongoni mwa treni iliyozingatia viwango vya kimataifa vya usafiri huo.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga sasa kimataifa zaidi, asema Manji

MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji amesema malengo ya Yanga wakati ujao ni kufanya vizuri katika mashindano ya Afrika na sio kuifunga Simba peke yake kama ambavyo imekuwa hivyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

WHO yatangaza coronavirus kuwa janga la kimataifa

Shirika la Afya duniani limeutangaza mlipuko wa virusi vya corona kuwa ni janga la kimataifa huku mlipuko huo ukiendelea kusambaa katika mataifa mbalimbali duniani

 

10 years ago

Mwananchi

Ndoto zangu ni kuwa msanii wa kimataifa

Burudani ni suala muhimu katika maisha ya kila siku, kwa upande mwingine pia ni ajira kwa baadhi ya vijana . Kundi kubwa la vijana limekuwa likitamani kuingia katika fani hiyo na kuwa wasanii ili

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani