Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Deluxe ya TRL ni ya kimataifa zaidi na salama

TRENI mpya ya kisasa (Deluxe) ya Kampuni ya Reli nchini (TRL) imetajwa kuwa ni miongoni mwa treni iliyozingatia viwango vya kimataifa vya usafiri huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MABEHEWA 22 YA TRENI YA ABIRIA YA DELUXE NI MAPYA! - TRL

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unachukua fursa hii kukanusha vikali taarifa potofu zilizoandikwa na baadhi ya magazeti kuwa mabehewa 22 ya abiria yaliyonunuliwa na Serikali kutoka Korea ya Kusini ni mabovu. Mabehewa haya yalikwisha fanyiwa majaribio na TRL kuridhika kuwa hayana kasoro yoyote.
Hoja kuwa tokea yawasili nchini mwezi Desemba , 2014 hayajaanza kutumika kwa vile ni mabovu ni upotoshaji wa ukweli. Ukweli ni kwamba kuanzia Novemba 24, 2014 TRL ilipeleka ...

 

10 years ago

Daily News

TRL launches deluxe train services on the Central Line


TRL launches deluxe train services on the Central Line
Daily News
THE Tanzania Railway Limited (TRL) has introduced new state-of-the-art deluxe train services, which are set to commence operations from Dar es Salaam to Kigoma and Mwanza on April 1, after meeting regulations set by the Surface and Marine Transport ...

 

9 years ago

GPL

BELLE 9 KUWA KIMATAIFA ZAIDI!

Staa anayesumbua kwa sasa na Kibao cha Shauri Zao, Abedinego Damian ‘Belle 9’. Boniphace NgumijeNGUMIJE
STAA anayesumbua kwa sasa na Kibao cha Shauri Zao, Abedinego Damian ‘Belle 9’ amefunguka kuwa kufuatia wimbo wake huo kuanza kufanya vizuri kimataifa ikiwa ni pamoja na kuchezwa kwenye vituo mbalimbali vya televisheni ikiwemo Trace Urban kumemfanya apate mzuka wa kuandaa kazi nyingine kali ambayo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yajifua kimataifa zaidi

Baada ya kupata tiketi ya kucheza katika michuano ya Kombe la Washindi barani Afrika,Yanga wanaboresha kikosi chao kimataifa.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga sasa wawazia kimataifa zaidi

YANGA inaongoza Ligi Kuu Tanzania Bara, hali inayompa kiburi Katibu Mkuu wa klabu hiyo kusema kuwa sasa wanajipanga kimataifa zaidi.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga sasa kimataifa zaidi, asema Manji

MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji amesema malengo ya Yanga wakati ujao ni kufanya vizuri katika mashindano ya Afrika na sio kuifunga Simba peke yake kama ambavyo imekuwa hivyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Hospitali za Apollo kuokoa zaidi ya watu 100 katika maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam

Print

Print

Print

Hospitali za Apollo zimekuwa mstari wa mbele kwa teknolojia ya hali ya juu na zinaongoza katika kutoa huduma nafuu za matibabu kwa wagonjwa duniani kote. Apollo wanashiriki kwenye Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam kwa mara ya kwanza.

Hospitali za Apollo ziko hapa kutangaza huduma wanazotoa na kuongeza uelewa  kuhusu Apollo. Wageni mbalimbali wanaotembelea Saba Saba wanaweza sasa kuelimishwa kuhusu huduma mbalimbali na teknolojia zinazotolewa na Hospitali za Apollo...

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi wa Deluxe watakiwa kuelimisha abiria

BAADA ya kufanyiwa uharibifu katika baadhi ya mabehewa ya treni mpya ya abiria (Deluxe), Kampuni ya Reli nchini (TRL) imewaagiza wafanyakazi na wahudumu wa treni hiyo kutoa elimu kwa abiria juu ya matumizi ya huduma mbalimbali zilizomo ndani ya treni hiyo ili kuepuka uharibifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani