Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga sasa kimataifa zaidi, asema Manji

MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji amesema malengo ya Yanga wakati ujao ni kufanya vizuri katika mashindano ya Afrika na sio kuifunga Simba peke yake kama ambavyo imekuwa hivyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Yanga sasa wawazia kimataifa zaidi

YANGA inaongoza Ligi Kuu Tanzania Bara, hali inayompa kiburi Katibu Mkuu wa klabu hiyo kusema kuwa sasa wanajipanga kimataifa zaidi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manji asema basi Yanga

MWENYEKITI wa Yanga ya jijini Dar es Salaam, Yusuph Manji, ametangaza kutowania tena uenyekiti wa klabu hiyo katika uchaguzi mkuu ujao ili kutoa nafasi kwa wanachama wengine wapate fursa ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yajifua kimataifa zaidi

Baada ya kupata tiketi ya kucheza katika michuano ya Kombe la Washindi barani Afrika,Yanga wanaboresha kikosi chao kimataifa.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA NG'ARI NG'ARI TAIFA SASA KWENDA ZIMBABWE WAKIWA NA MZUKA ZAIDI

Amisi na Msavu waing'arisha Yanga taifa kiroho safi warudi kileleni baada ya kuilaza Kagera 2-1 sasa kwenda Zimbabwe wakiwa full mziki kiroho safi.

Simba huko Tanga wakalia kigoda na kuogeshwa mara 2 bila majibu na maafande wa mgambo JKT licha ya majigambo mengi baada ya kuilaza Yanga na Mtibwa, wagoma kuingia vyumba vya kubadirishia nguo na kwenda kubadirishia kwenye basi lao

 

11 years ago

Mwananchi

Manji sasa ampa rungu Maximo

Uongozi wa Yanga umemwangushia ‘zigo’ la kina Okwi kocha wa timu hiyo Mbrazili Marcio Maximo wakisema yeye ndiye mwenye uamuzi wa mwisho wa kumpunguza kati ya mshambuliaji Emmanuel Okwi au Hamis Kiiza.

 

11 years ago

GPL

Manji ajitoa Yanga SC

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji. Na Hans Mloli
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, ametangaza rasmi kutowania tena nafasi ya uenyekiti kwenye uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utakaotangazwa baadaye mwakani. Manji alichukua wadhifa huo mwaka jana baada ya kuondolewa kwa aliyekuwa Mwenyekiti, Lloyd Nchunga, aliyekuwa amebakiza miaka miwili ya uongozi wake klabuni hapo. Manji ambaye pia ni mfadhili wa klabu hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manji aibuka Yanga

MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji, ameibuka na kudai kuwa kutokuwepo kwake nchini ndiyo sababu ya kutokea kwa maneno ya hapa na pale, huku akiwafuta uanachama wanachama sita na tawi moja....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manji awatega wakorofi Yanga

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, ameamua kujibu mapigo dhidi ya wanachama wanaopinga maamuzi ya mkutano mkuu wa Juni 1, mwaka huu, akiwataka wajiorodheshe kujua idadi na uhai wao...

 

11 years ago

GPL

Manji amuokoa Kaseja Yanga

Juma Kaseja. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya uongozi wa Yanga juzi Jumanne, kuweka wazi majina ya wachezaji 11 uliowatema, imefahamika kuwa Juma Kaseja aliokolewa na mwenyekiti wa timu hiyo, Yusuf Manji. Mwenyekiti wa timu ya Yanga SC, Yusuf Manji. Imekuwa ikielezwa kuwa Kaseja hatakiwi kwenye kikosi cha Yanga kutokana na kufanya vibaya kwenye msimu uliopita wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Awali,… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani