Manji sasa ampa rungu Maximo
Uongozi wa Yanga umemwangushia ‘zigo’ la kina Okwi kocha wa timu hiyo Mbrazili Marcio Maximo wakisema yeye ndiye mwenye uamuzi wa mwisho wa kumpunguza kati ya mshambuliaji Emmanuel Okwi au Hamis Kiiza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Jan
Nchemba ampa rungu DC kuwakamata wezi wa dawa
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Mwigulu Nchemba amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Morogoro kufanyia uchunguzi suala la upungufu wa dawa hospitalini kubaini wanaohusika na uchotaji wachukuliwe hatua.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVnJyGTtoGB1RO8x-ObswyRCGjZInLyW5UmJVbfGivEIdx2BKJBYgCNQdDoaK9GvXeUDVQFwPJvI2Vf-6tqaIie*/maxmo.gif?width=650)
MAXIMO AMPA KASEJA TAA YA KIJANI
9 years ago
Habarileo17 Oct
Yanga sasa kimataifa zaidi, asema Manji
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji amesema malengo ya Yanga wakati ujao ni kufanya vizuri katika mashindano ya Afrika na sio kuifunga Simba peke yake kama ambavyo imekuwa hivyo.
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Fidia ya Maximo sasa yaitesa Yanga
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi
KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.
“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s72-c/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s1600/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Rungu jipya la Magufuli
*Fagio la kupunguza wafanyakazi mashirika ya umma
*Posho za wabunge vikao vya bodi zapigwa marufuku
RUTH MNKENI NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
SERIKALI ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Magufuli, imeshusha rungu jipya kwa kutangaza uamuzi mchungu wa kupunguza wafanyakazi katika taasisi na mashirika ya umma ambayo yameonekana kuwa mzigo katika utendaji.
Mashirika hayo yameelezwa licha ya kuwa na watumishi wengi, lakini bado uzalishaji na utendaji wake umekuwa hauna tija kwa taifa.
Hayo...
10 years ago
Habarileo09 Oct
AG apewa rungu kura ya maoni
WAKATI kukiwa na matamanio na ushauri wa kutaka Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha Katiba Mpya inapatikana kabla ya kuondoka madarakani, suala hilo limeachwa kwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupatiwa ufumbuzi.
11 years ago
GPLMJAMZITO APIGWA RUNGU KICHWANI