MAXIMO AMPA KASEJA TAA YA KIJANI
![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVnJyGTtoGB1RO8x-ObswyRCGjZInLyW5UmJVbfGivEIdx2BKJBYgCNQdDoaK9GvXeUDVQFwPJvI2Vf-6tqaIie*/maxmo.gif?width=650)
Maximo (katikati) akiwa na kocha msadizi wa Yanga, Mbrazili Leornado Leiva Martins (kulia). Na Wilbert Molandi KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, amekabidhi mapendekezo ya usajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara huku akitaka wachezaji wenye uwezo wa kimataifa.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Maximo: Sina bifu na Kaseja
WAKATI kocha mpya wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo akitarajia kuanza kibarua Jumatatu, amesema hana ‘bifu’ na kipa Juma Kaseja wala mchezaji yeyote hapa nchini. Maximo akiwa kocha wa...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Manji sasa ampa rungu Maximo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-5ionicXKfzURkhQwvwQcpYQAqC5P1jwD6bFhW*p9osOFXSG1*oooqPPw2nLSBWmB2dPDEtdSLtMJtz7C1H-AY3/2.jpg?width=650)
Maximo, Kaseja uso kwa uso
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu Mashuhuri...
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi
KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.
“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JgCPXk9K9AU/VA_1Ya5QcgI/AAAAAAAGiVI/enqG4ulr0cs/s72-c/0L7C1188.jpg)
dar es salaam ya kijani
![](http://3.bp.blogspot.com/-JgCPXk9K9AU/VA_1Ya5QcgI/AAAAAAAGiVI/enqG4ulr0cs/s1600/0L7C1188.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uTm_VVYyRes/VA_1i3HbvMI/AAAAAAAGiVQ/Hc6tqloQBfw/s1600/0L7C1219.jpg)
11 years ago
Habarileo09 Jul
‘Isaidieni Serikali kujenga uchumi wa kijani’
WATAALAM wa mazingira wametakiwa kuisaidia Serikali kutengeneza Sera nzuri zitakazosaidia kujenga uchumi wa kijani. Hayo yalisemwa jana na Mhadhiri wa Idara ya Jiografia na mazingira wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Thabit Jacob, wakati wa mkutano wa Wanamazingira na watafiti wa Uchumi wa Kijani unaofanyika chuoni hapo.
11 years ago
Habarileo03 Mar
Tanzania yang’ara mapinduzi ya kijani
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi za Afrika, zinazosonga mbele vyema katika utekelezaji wa mapinduzi ya kijani kwa kuwezesha wananchi wake kuwa na chakula cha kutosha. Taasisi ya Mapinduzi ya Kijani barani Afrika (AGRA) imetoa maelezo hayo, wakati wataalamu wake walipokuwa na kikao cha mwaka mjini Unguja na kufafanua kuwa wameridhishwa na jinsi Tanzania inavyoendelea kukabiliana na tatizo la mbegu na uzalishaji wake.