‘Isaidieni Serikali kujenga uchumi wa kijani’
WATAALAM wa mazingira wametakiwa kuisaidia Serikali kutengeneza Sera nzuri zitakazosaidia kujenga uchumi wa kijani. Hayo yalisemwa jana na Mhadhiri wa Idara ya Jiografia na mazingira wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Thabit Jacob, wakati wa mkutano wa Wanamazingira na watafiti wa Uchumi wa Kijani unaofanyika chuoni hapo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Mikakati inayopaswa kuzingatiwa na Serikali ijayo ili kujenga uchumi bora
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Tunahitaji rais wa kujenga uchumi, kulinda rasilimali zetu
9 years ago
Mwananchi01 Jan
MAONI YA MHARIRI: Mwaka 2016 uwe wa kujenga uchumi
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Amina Salum Ally: Nitatumia miaka mitano kujenga uchumi
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Serikali kujenga karakana NIT
SERIKALI inatarajia kujenga karakana nne katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) zitakazogharimu dola 300,000 ambazo zitakamilika mwakani. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana baada ya Kamati ya Miundombinu kutembelea...
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Serikali kujenga nyumba 403 Mwakata
9 years ago
Habarileo05 Dec
Serikali zatakiwa kujenga nyumba nafuu
SERIKALI za nchi za Afrika zimeshauriwa kuja na mpango kabambe wa ujenzi wa nyumba bora za gharama nafuu, zitakazowanufaisha wananchi wake badala ya kuwekeza kwenye ujenzi wa nyumba za kifahari.
11 years ago
Tanzania Daima04 May
UKAWA: Tumeungana kujenga serikali imara
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umefafanua hoja ya kuanzisha ushirikiano katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ni kujenga serikali imara yenye kuheshimu matakwa ya wananchi. UKAWA inaundwa na vyama...