Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mikakati inayopaswa kuzingatiwa na Serikali ijayo ili kujenga uchumi bora

Mwezi wa Oktoba, Watanzania watamchagua Rais mpya Wabunge na Madiwani katika uchaguzi mkuu. Ni vyema Watanzania wakafahamu umuhimu wa uongozi katika maendeleo ya uchumi na jamii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Serikali yashauriwa kuweka mikakati imara ya kuimarisha uchumi

Chama cha Tathmini Tanzania kimeishauri Serikali kuweka mikakati imara ya kufanya tathmini na kutumia takwimu katika utungaji wa sera na mipango mbalimbali ya  nchi ili kuwawezesha  wananchi kuimarika  kiuchumi.

Imesemekana kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazijaweka kipaumbele umuhimu wa kufanya tathmini katika miradi na matumizi ya takwimu kwenye uamuzi ,jambo ambalo  linarudisha    nyuma maendeleo ya watanzania.

 Wakati Tanzania ikiajiandaa kuadhimisha siku ya Tathmini Duniani...

 

11 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA UMMA WAASWA KUZINGATIA KANUNI ZA MAADILI YA UTENDAJI KAZI ILI KUJENGA UTAWALA BORA.

Viongozi na Watumishi wa umma wameaswa kuzingatia Kanuni za Maadili ya utendaji kazi ili kujenga Utawala Bora na kuimarisha mapambano dhidi ya Rushwa nchini.
Rai hiyo imetolewa na Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji (Mst.) Salome Kaganda wakati akizindua filamu ya “The Minister” iliyoandaliwa na Kampuni ya Equity Links Enterprises (ELE) katika ukumbi wa CENTURY CINEMAX THEATRE Jijini Dar es Salaam.
Mhe. Kaganda alifafanua kuwa katika utumishi wa umma kuna Kanuni za Maadili ya utendaji ...

 

11 years ago

Habarileo

‘Isaidieni Serikali kujenga uchumi wa kijani’

WATAALAM wa mazingira wametakiwa kuisaidia Serikali kutengeneza Sera nzuri zitakazosaidia kujenga uchumi wa kijani. Hayo yalisemwa jana na Mhadhiri wa Idara ya Jiografia na mazingira wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Thabit Jacob, wakati wa mkutano wa Wanamazingira na watafiti wa Uchumi wa Kijani unaofanyika chuoni hapo.

 

9 years ago

StarTV

Serikali yapanga kujenga makazi ya watumishi ili kuleta Ufanisi Wa Kazi

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula amesema Wizara yake inaangalia uwezekano wa kushirikiana na Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI na ile ya Utumishi wa Umma kuhakikisha watumishi wa Umma wanakuwa na nyumba bora ili kuwawezesha kufanya kazi zao kwa ufanisi.

Amesema watumishi wanaoishi vijijini ndiyo wanaoathirika zaidi kutokana na kukosa makazi bora hatua inayowafanya wengi wao kushindwa kumudu kufanya kazi zao na...

 

9 years ago

StarTV

Serikali yaombwa kuwaingiza wafugaji kwenye bajeti ili kuinua uchumi wa taifa

Chama cha Wafugaji Kanda ya Ziwa kimeitaka Serikali kuwatambua kuwa nao ni miongoni mwa Sekta muhimu inayoweza kuinua uchumi wa nchi na wananchi wake kwa kulipa mapato na kutaka kuingizwa katika bajeti ya walipa kodi.

Wafugaji wamesema Tanzania ni nchi ya tatu barani Afrika kwa wingi wa mifugo ya asili lakini wengi wao wanaishi katika hali duni na hata serikali imeshindwa kupata kikamilifu matunda ya kuwepo kwa rasilimali hiyo.

 Hayo wameyasema katika Mkutano wao na Waziri wa Kilimo,Mifugo...

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA BIASHARA MKOA WA DODOMA LASISITIZA USHIRIKIANO BAINA YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI ILI KUONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA DODOMA

Mkuu wa Mkoa Dodoma na Mwenyekiti wa Baraza la Biashara Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba ya kufungua mkutano wa baraza hilo Mjini Dodoma Feb. 13,2015. Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) Ndg. Raymond Mbilinyi akiwasilisha majukumu ya Baraza hilo katika kusaidia mabaraza ya biasara ya Mkoa na jinsi ya kukuza ushirikiano kati ya Serikali na Sekta binafsi wakati wa mkutao wa baraza la biashara la Dodoma Feb. 13, 2015. Wajumbe wa baraza la biashara Mkoa wa Dodoma...

 

9 years ago

Habarileo

Kinondoni kujenga sekondari 6 wiki ijayo

WILAYA ya Kinondoni imeazimia wiki ijayo kuanza kujenga shule sita za sekondari katika kata zote ambazo hazina sekondari. Hatua hiyo imelenga kuwezesha wanafunzi 3,000 ambao wamefaulu mtihani wa darasa la saba na kukosa nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza mwakani, wajiunge na masomo ya sekondari.

 

11 years ago

Mwananchi

Utekelezaji duni wa mikakati wakwaza ukuaji uchumi

Hali ya uchumi wa Tanzania ni duni mno, mojawapo ya sababu inaelezwa kwamba ni kuwa na mikakati isiyo na utekelezaji.

 

9 years ago

StarTV

Jeshi la polisi laombwa kuboresha mikakati Ili Kudhibiti Ajali Za Barabarani  

 

Siku moja baada ya ajali ya basi kugongana na Lori la mafuta na kusababisha vifo vya watu 12 papo hapo na kujeruhi wengine 18 mkoani Singida, baadhi ya wanachi wameliomba Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani, kuangalia upya mikakati yake kudhibiti tatizo hilo nchini.

Ajali hiyo ilitokea jana Jumanne majira ya saa 1:30 usiku katika eneo la Kizonzo- Shelui Wilaya ya Iramba barabara kuu ya Singida-Mwanza na kulihusisha basi la Kampuni ya TAKBIIRY lenye namba za usajili T. 230 BRJ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani