Serikali zatakiwa kujenga nyumba nafuu
SERIKALI za nchi za Afrika zimeshauriwa kuja na mpango kabambe wa ujenzi wa nyumba bora za gharama nafuu, zitakazowanufaisha wananchi wake badala ya kuwekeza kwenye ujenzi wa nyumba za kifahari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Mar
Lukuvi: NHC ipatiwe viwanja vya kujenga nyumba nafuu
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amezitaka halmashauri kote nchini kutenga maeneo ya viwanja ili Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) liweze kujenga nyumba bora na za gharama nafuu zitakazouzwa kwa wananchi.
10 years ago
MichuziMwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai atembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kigamboni
5 years ago
CCM BlogUFARANSA YAIPATIA SERIKALI MKOPO NAFUU KUJENGA MRADI WA MAJI MJINI MOROGORO
5 years ago
MichuziUFARANSA YAIPATIA SERIKALI MKOPO NAFUU WA SH.BILIONI 175.6 KUJENGA MRADI WA MAJI MJINI MOROGORO
Na Farida Ramadhani-WFM, Dodoma
Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) zimetiliana saini mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu wa Euro milioni 70, sawa na takriban shilingi za Tanzania bilioni 175.6 kwa ajili ya kugharamia Mradi wa Maji Safi na Usafi wa Mazigira Mjini Morogoro (MORUWASA).
Mkataba wa mkopo huo umesainiwa Jijini Dodoma na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James kwa upande wa Serikali na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la...
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Serikali kujenga nyumba 403 Mwakata
10 years ago
Michuzi01 Jun
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWEKA JIWE LA MSINGI NYUMBA 50 ZA GHARAMA NAFUU ZA NHC MJINI KAHAMA
![New Picture (7)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-7.png)
![New Picture (2)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-2.png)
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1.png)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-7.png)
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWEKA JIWE LA MSINGI NYUMBA 50 ZA GHARAMA NAFUU ZA NHC MJINI KAHAMA
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UK6Ma81aPfM/XvSRa5Q07wI/AAAAAAALvX4/UCipZyDLPkA2bt5LzIm-xW_QnV5zf4h3wCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_8610AAA-768x512.jpg)
KINONDONI YAPONGEZWA KWA KUJENGA UWANJA WA MPIRA WA KISASA, TIMU KUBWA ZATAKIWA KUIGA MFANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-UK6Ma81aPfM/XvSRa5Q07wI/AAAAAAALvX4/UCipZyDLPkA2bt5LzIm-xW_QnV5zf4h3wCLcBGAsYHQ/s640/DSC_8610AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC_8616AAA-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Tamisemi Mhe. Josephat Kandege akikagua muonekano wa uwanja wa mpira wa miguu wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni wakati alipotembelea uwanja huo ,mwenyesuti ya Dakbluu ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Daniel Chongolo.
……………………………………………………………………………………..
Manispaa ya Kinondoni imepongezwa kwa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu wenye uwezo wa kuchukua takriban idadi ya mashabiki 3600 kwa mara moja.
Pongezi hizo zimetolewa na Naibu wa Waziri wa Tawala za Mikoa na...