Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maximo: Sina bifu na Kaseja

WAKATI kocha mpya wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo akitarajia kuanza kibarua Jumatatu, amesema hana ‘bifu’ na kipa Juma Kaseja wala mchezaji yeyote hapa nchini. Maximo akiwa kocha wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseja: Sina bifu na Ivo

KIPA wa Yanga, Juma Kaseja, amesema hana sababu ya kutoelewana wala kugombana na kipa wa Simba na timu ya taifa, Taifa Stars, Ivo Mapunda. Kauli hiyo ya Kaseja imekuja baada...

 

11 years ago

GPL

SINA BIFU NA WEUSI - ROMA MKATOLIKI

Ibrahimu Musa ‘Roma Mkatoliki’ wakati akifanya mahojiano ndani ya studio za Global TV Online. MAKALA SIFAEL PAUL
UKITIMBA mjengoni Global Publishers utaipenda. Mbali na magazeti yanayosomwa na wengi ndani na nje ya Bongo, utakuta na bonge la studio ya Global TV Online. Hapo ndipo mastaa hudondoka kila wiki kufunguka mambo mbalimbali juu ya sanaa wanazofanya. Hivi karibuni ndani ya Global TV Online ilikuwa zamu...

 

11 years ago

GPL

MAXIMO AMPA KASEJA TAA YA KIJANI

Maximo (katikati) akiwa na kocha msadizi wa Yanga, Mbrazili Leornado Leiva Martins (kulia).
Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, amekabidhi mapendekezo ya usajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara huku akitaka wachezaji wenye uwezo wa kimataifa.…

 

11 years ago

GPL

Maximo, Kaseja uso kwa uso

Kipa wa Yanga, Juma Kaseja. Na Ezekiel Kitula
HII ni rekodi mpya katika soka, kwani Kocha mpya wa Yanga, Marcio Maximo na kipa Juma Kaseja, leo wanatarajia kuanza kufanya kazi pamoja kwa mara nyingine baada ya miaka sita ya kutoonana ana kwa ana.
Maximo na Kaseja kwa mara ya kwanza tangu 2008, wataonana ana kwa ana na kuanza kufanya kazi…

 

10 years ago

Mwananchi

Kaseja ‘kushtakiwa’

Kipa Juma Kaseja amewekwa kati akitarajiwa kujadiliwa na kuchukuliwa hatua na kamati ya nidhamu ya klabu ya Yanga akituhumiwa kukacha mazoezi, jambo ambalo ni utovu wa nidhamu.

 

11 years ago

GPL

Kaseja majanga...

Kipa wa Yanga, Juma Kaseja. Na Phillip Nkini
KIPA wa Yanga, Juma Kaseja, amesema yeye ni mzima wa afya na kukosekana kwake kwenye mechi dhidi ya Ashanti siyo ishu kubwa, lakini kocha wake amesisitiza aliamua kumfanya chaguo la tatu kutokana na kiwango. Kaseja alijiunga na Yanga baada ya kumaliza mkataba wake na Simba na kukaa nje nusu msimu bila kucheza, lakini juzi ukiwa ndiyo mchezo wa kwanza wa mzunguko wa pili wa ligi kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseja ajitetea

KIPA wa Yanga, Juma Kaseja, amejitetea na kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Simba katika mechi ya Nani Mtani Jembe, akisema ni hali ya kimchezo. Akizungumza baada ya mechi hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Kaseja hatihati

Hatma ya kipa Juma Kaseja, kuendelea kuichezea Yanga ipo mikononi mwa mashabiki wa klabu hiyo kutokana na mapendekezo ya benchi la ufundi yaliyowasilishwa kwa viongozi wa timu hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani