Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaseja ‘kushtakiwa’

Kipa Juma Kaseja amewekwa kati akitarajiwa kujadiliwa na kuchukuliwa hatua na kamati ya nidhamu ya klabu ya Yanga akituhumiwa kukacha mazoezi, jambo ambalo ni utovu wa nidhamu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Lowassa kushtakiwa

Mgombea ubunge jimbo la Kyela, Dk Harrison Mwakyembe amesema moto wa kashfa ya mkataba wa kufua umeme wa dharura na kampuni ya Richmond haujazimika, hivyo mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa anaweza kufunguliwa “kesi ya magendo”.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND KUSHTAKIWA

Waandishi wetu
STAA wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’ ambaye aliwatelekeza watoto wawili alioahidi kuwasomesha katika shule ya East Africa International ya Mikocheni jijini Dar es Salaam, atashtakiwa mahakamani endapo wazazi wa vijana hao wataamua kufanya hivyo, Risasi Mchanganyiko limeelezwa. Staa wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’. Meneja wa msanii...

 

9 years ago

BBCSwahili

Al-Maliki aweza kushtakiwa

Waziri mkuu wa zamani wa Iraq huenda akachukuliwa hatua za kisheria kwa mchango wake katika vita

 

11 years ago

Mwananchi

Atakayekacha mafunzo JKT kushtakiwa

Vijana wasiopungua 45,000 watakaomaliza kidato cha sita watajiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa mujibu wa sheria na watakaokwepa mafunzo hayo ya miezi mitatu, watashtakiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashirika ya ndege kushtakiwa Uingereza

Wahudumu wa ndege wanapanga kuyashtaki mashirika ya ndege ya Uingereza kwa kuathiriwa na hewa chafu ndani ya vyumba vya ndege.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Mawaziri 4 kushtakiwa Kenya

Kiongozi wa mashtaka nchini kenya amesema kuwa mawaziri wanne watashtakiwa kwa makosa ya ufisadi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Spika wa Congress Brazil kushtakiwa

Waendesha mashtaka wa Brazil wamefungua mashtaka ya rushwa na usafishaji wa fedha chafu dhidi ya Spika wa Congress, Eduardo Cunha

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Zamani wa Guatamala kushtakiwa

Mahakama moja nchini Guatamala imeruhusu kukakamatwa na kushtakiwa kwa rais wa zamani kwa madai ya rushwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani