Ufisadi:Mawaziri 4 kushtakiwa Kenya
Kiongozi wa mashtaka nchini kenya amesema kuwa mawaziri wanne watashtakiwa kwa makosa ya ufisadi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mawaziri 2 washtakiwa na ufisadi Kenya
Waziri wa ardhi nchini Kenya aliyesimamishwa kazi Charity Ngilu amefikishwa mahakamani na kujibu mashtaka ya kuwazuia maafisa wa shirika la kupambana na ufisadi kuchunguza stakabadhi za ardhi moja ambayo umiliki wake una utata jijini Nairobi
10 years ago
Vijimambo26 May
UFISADI MAWAZIRI 4 KUSHITAKIWA HUKO KENYA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/16/150416124754_kenya_court_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Kiongozi wa Mashtaka ametoa ruhusa ya kushtakiwa kwa mwaziri wanne
Kutumia ujumbe kwa vyombo vya habari, mkuu wa mashtaka ya umma nchini Kenya Keriako Tobiko, hii leo amevumbua yaliyomo katika hati za kesi za mawaziri wanne.
Tume ya maadili na kupambana na ufisadi ya Kenya imependekeza waziri wa uchukuzi mMhandisi Michael Kamau na waziri wa leba Kazungu Kambi kushtakiwa na matumizi mabaya ya ofisi.
Mhandisi Michael Kamau anakumbwa na shutuma za kutumia fedha ubadhirifu wa fedha za umma na...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Mawaziri wa JK wanaswa ufisadi wa mabilioni
Watu tisa wakiwamo mawaziri wawili wa Fedha wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Jakaya Kikwete wametajwa kushiriki kwenye kashfa ya rushwa ya Sh13 bilioni wakati Serikali ya Tanzania ilipokopa Dola za Kimarekani 600 milioni (Sh1.3 trilioni) kutoka benki ya Standard ya Uingereza.
10 years ago
BBCSwahili07 May
Ufisadi: Mawaziri wote kujiuzulu Chile
Rais wa Chile Michelle Bachelet amelitaka baraza lake lote la mawaziri kujiuzulu.
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Sankale Ole Kantai: Jaji aliyedaiwa kushirikiana na mshukiwa wa mauaji Kenya kushtakiwa
Jaji mmoja nchini Kenya atafunguliwa mashtaka mahakamani kufuatia madai kwamba alishirikiana na mshukiwa wa mauaji.
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Ufisadi unaweza kumalizika Kenya?
Shirika la Transparency Internatuional linasema juhudi za kutosha kukabiliana na ufisadi nchini Kenya bado hazijafanywa.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Wakuu wa ufisadi wasimamishwa kazi Kenya
Rais Uhuru Kenyatta, amewasimamisha kazi wakuu wawili wa shirika linalopambana na ufisadi nchini humo,
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Ufisadi:Polisi 63 wafutwa kazi Kenya
Takriban maafisa 63 wa kikosi cha polisi nchini Kenya wamefutwa kazi kufuatia madai ya kuhusika na ufisadi.
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Burundi,UG na Kenya zaongoza kwa ufisadi
Ufisadi nchini Kenya bado uko katika kiwango cha juu licha ya juhudi kukabiliana na swala hilo nyeti.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania