Ufisadi unaweza kumalizika Kenya?
Shirika la Transparency Internatuional linasema juhudi za kutosha kukabiliana na ufisadi nchini Kenya bado hazijafanywa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 May
Ufisadi:Mawaziri 4 kushtakiwa Kenya
Kiongozi wa mashtaka nchini kenya amesema kuwa mawaziri wanne watashtakiwa kwa makosa ya ufisadi.
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mawaziri 2 washtakiwa na ufisadi Kenya
Waziri wa ardhi nchini Kenya aliyesimamishwa kazi Charity Ngilu amefikishwa mahakamani na kujibu mashtaka ya kuwazuia maafisa wa shirika la kupambana na ufisadi kuchunguza stakabadhi za ardhi moja ambayo umiliki wake una utata jijini Nairobi
10 years ago
Vijimambo26 May
UFISADI MAWAZIRI 4 KUSHITAKIWA HUKO KENYA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/16/150416124754_kenya_court_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Kiongozi wa Mashtaka ametoa ruhusa ya kushtakiwa kwa mwaziri wanne
Kutumia ujumbe kwa vyombo vya habari, mkuu wa mashtaka ya umma nchini Kenya Keriako Tobiko, hii leo amevumbua yaliyomo katika hati za kesi za mawaziri wanne.
Tume ya maadili na kupambana na ufisadi ya Kenya imependekeza waziri wa uchukuzi mMhandisi Michael Kamau na waziri wa leba Kazungu Kambi kushtakiwa na matumizi mabaya ya ofisi.
Mhandisi Michael Kamau anakumbwa na shutuma za kutumia fedha ubadhirifu wa fedha za umma na...
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Vita vipya kuangamiza ufisadi Kenya
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amezindua mpango mpya wa kupambana na ufisadi katika nchi ambayo ufisadi ni jinamizi kubwa
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Ufisadi:Polisi 63 wafutwa kazi Kenya
Takriban maafisa 63 wa kikosi cha polisi nchini Kenya wamefutwa kazi kufuatia madai ya kuhusika na ufisadi.
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Burundi,UG na Kenya zaongoza kwa ufisadi
Ufisadi nchini Kenya bado uko katika kiwango cha juu licha ya juhudi kukabiliana na swala hilo nyeti.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Wakuu wa ufisadi wasimamishwa kazi Kenya
Rais Uhuru Kenyatta, amewasimamisha kazi wakuu wawili wa shirika linalopambana na ufisadi nchini humo,
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Mwanahabari aliyeandika kuhusu ufisadi Kenya akamatwa
Mwanahabari mashuhuri nchini Kenya anazuiliwa na maafisa wa usalama Kenya baada ya kudaiwa kuchapisha habari kuhusu tuhuma za ufisadi serikalini.
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Aliyekuwa waziri mahakamani kwa ufisadi Kenya
Amos Kimunya ameshitakiwa kwa kosa la kutumia vibaya mamlaka pamoja na kujipatia ardhi ya umma kinyume na sheria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania