Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanahabari aliyeandika kuhusu ufisadi Kenya akamatwa

Mwanahabari mashuhuri nchini Kenya anazuiliwa na maafisa wa usalama Kenya baada ya kudaiwa kuchapisha habari kuhusu tuhuma za ufisadi serikalini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MWANAHABARI WA CNN AKAMATWA AKIRIPOTI MUBASHARA

Ubaguzi waendelea Marekani, mwanahabari wa CNN akamatwa akiripoti mubasharaPolisi nchini Marekani wameendeleza vitendo vya kuwabagua Wamarekani wenye asilia ya Afrika na mara hii mwanahabari wa Televisheni ya CNN amekamatwa akiwa anarusha ripoti hewani mubashara kuhusu ghasia za kupinga ubaguzi wa rangi huko Minneapolis.Kwa mujibu wa taarifa Omar Jimenez, mwanahabari wa CNN alikuwa anarusha hewani ripoti mubashara kuhusu ukatili wa Polisi ya Marekani dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika wakati alipotiwa mbaroni na polisi.Katika tukio hilo la Ijumaa Omar...

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC:Mwanahabari wa Kenya kukamatwa

Mahakama nchini Kenya imetoa kibali cha kukamatwa kwa mwandishi wa habari Walter Barasa anayetuhumiwa kwa kuwahonga mashahidi wa ICC katika kesi inayomkabili naibu Rais William Ruto.

 

11 years ago

BBCSwahili

EU yaonya kuhusu ufisadi Ulaya

Kamishna wa bara ulaya anayesimamia maswala ya ndani ya bara hilo ameonya kuhusu viwango vikuu vya ufisadi miongoni mwa nchi wanachama wa bara hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa akamatwa kuhusu mauaji ya Paris

Polisi nchini Ufaransa wamemkamata mwanamume eneo la Paris kwenye uchunguzi wao kuhusu mashambulio ya Novemba 13.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa Al shabaab akamatwa Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wanasema wamemnasa mshukiwa mkuu wa Al-Shabaab ambaye aliingia nchini humo kutafuta matibabu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa Al Shabab akamatwa Kenya

Mshukiwa mmoja wa kundi la wapiganaji wa Al Shabab amekamatwa kufuatia shambulizi la kigaidi Kaskazini mwa Kenya

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri 2 washtakiwa na ufisadi Kenya

Waziri wa ardhi nchini Kenya aliyesimamishwa kazi Charity Ngilu amefikishwa mahakamani na kujibu mashtaka ya kuwazuia maafisa wa shirika la kupambana na ufisadi kuchunguza stakabadhi za ardhi moja ambayo umiliki wake una utata jijini Nairobi

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Mawaziri 4 kushtakiwa Kenya

Kiongozi wa mashtaka nchini kenya amesema kuwa mawaziri wanne watashtakiwa kwa makosa ya ufisadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani