Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ICC:Mwanahabari wa Kenya kukamatwa

Mahakama nchini Kenya imetoa kibali cha kukamatwa kwa mwandishi wa habari Walter Barasa anayetuhumiwa kwa kuwahonga mashahidi wa ICC katika kesi inayomkabili naibu Rais William Ruto.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Nkaissery azungumzia kukamatwa kwa mwanahabari

Waziri wa usalama wa ndani nchini Kenya Meja jenerali mstaafu Joseph Nkaissery ametetea hatua ya maafisa wa usalama kumkamata mwanahabari wa gazeti la Daily Nation nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanahabari aliyeandika kuhusu ufisadi Kenya akamatwa

Mwanahabari mashuhuri nchini Kenya anazuiliwa na maafisa wa usalama Kenya baada ya kudaiwa kuchapisha habari kuhusu tuhuma za ufisadi serikalini.

 

10 years ago

BBC

Kenya 'not co-operating with ICC'

Prosecutors ask the International Criminal Court to rule that Kenya's government is not co-operating with investigations into President Uhuru Kenyatta case.

 

11 years ago

BBC

Kenya court allows ICC extradition

Kenya's high court rules that journalist Walter Barasa, wanted by the International Criminal Court for bribing witnesses, can be extradited to The Hague.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Kenya's Kenyatta to appear at ICC

Kenyan President Uhuru Kenyatta prepares to appear before the International Criminal Court at The Hague.

 

10 years ago

GPL

MAHAKAMA YA ICC YAIONYA KENYA

Rais wa Kenya, Rais Kenyatta. Mahakama ya kimataifa ya ICC, imeonya serikali ya Kenya dhidi ya kufichua taarifa kuhusu kesi inayomkabili Rais Uhuru Kenyatta kwa vyombo vya habari nchini humo. Rais Kenyatta amekuwa Rais wa kwanza aliye mamlakani kufika katika mahakama ya ICC kusikiliza kesi inayomkabili mapema mwezi huu. Rais wa Kenya, Rais Kenyatta (kulia) akiwa na wakili wake katika… ...

 

10 years ago

Vijimambo

SHAHID WA ICC APATIKANA AMEUAWA KENYA


Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC
Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake katika kesi ya naibu wa rais katika mahakama hiyo.
Ripoti za vyombo vya habari nchini Kenya zinasema kuwa mwili wa Meshash Yebei ulipatikana karibu na mto zaidi ya wiki moja baada ya kuonekana akibebwa na kuingizwa katika gari moja lisilo na nambari za usajili katika mji wa Eldoret,umbali wa kilomita 200.
Bwana Yebei...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shahidi wa ICC apatikana ameuawa Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake

 

10 years ago

BBC

Kenya 'ICC defence witness murdered'

A man found dead in Kenya over the weekend was a key witness for Deputy President William Ruto at his trial in The Hague, his lawyer says.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani