ICC:Mwanahabari wa Kenya kukamatwa
Mahakama nchini Kenya imetoa kibali cha kukamatwa kwa mwandishi wa habari Walter Barasa anayetuhumiwa kwa kuwahonga mashahidi wa ICC katika kesi inayomkabili naibu Rais William Ruto.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Nkaissery azungumzia kukamatwa kwa mwanahabari
Waziri wa usalama wa ndani nchini Kenya Meja jenerali mstaafu Joseph Nkaissery ametetea hatua ya maafisa wa usalama kumkamata mwanahabari wa gazeti la Daily Nation nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Mwanahabari aliyeandika kuhusu ufisadi Kenya akamatwa
Mwanahabari mashuhuri nchini Kenya anazuiliwa na maafisa wa usalama Kenya baada ya kudaiwa kuchapisha habari kuhusu tuhuma za ufisadi serikalini.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78062000/jpg/_78062183_78042938.jpg)
Kenya 'not co-operating with ICC'
Prosecutors ask the International Criminal Court to rule that Kenya's government is not co-operating with investigations into President Uhuru Kenyatta case.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/73698000/jpg/_73698102_70251014.jpg)
Kenya court allows ICC extradition
Kenya's high court rules that journalist Walter Barasa, wanted by the International Criminal Court for bribing witnesses, can be extradited to The Hague.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78077000/jpg/_78077384_78077186.jpg)
VIDEO: Kenya's Kenyatta to appear at ICC
Kenyan President Uhuru Kenyatta prepares to appear before the International Criminal Court at The Hague.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TzObvhxOuafiDk20miNYSyW6QqQHX4JDWDeCiCm*nxo80iwUj8dxb0fEy6NpI-BcX6fQGrHGsygLmkm69*XTwpUWwt7G2BzY/017399190_30300.jpg?width=650)
MAHAKAMA YA ICC YAIONYA KENYA
Rais wa Kenya, Rais Kenyatta. Mahakama ya kimataifa ya ICC, imeonya serikali ya Kenya dhidi ya kufichua taarifa kuhusu kesi inayomkabili Rais Uhuru Kenyatta kwa vyombo vya habari nchini humo. Rais Kenyatta amekuwa Rais wa kwanza aliye mamlakani kufika katika mahakama ya ICC kusikiliza kesi inayomkabili mapema mwezi huu. Rais wa Kenya, Rais Kenyatta (kulia) akiwa na wakili wake katika… ...
10 years ago
Vijimambo05 Jan
SHAHID WA ICC APATIKANA AMEUAWA KENYA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/03/150103203238_icc_building_624x351_afp_nocredit.jpg)
Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake katika kesi ya naibu wa rais katika mahakama hiyo.
Ripoti za vyombo vya habari nchini Kenya zinasema kuwa mwili wa Meshash Yebei ulipatikana karibu na mto zaidi ya wiki moja baada ya kuonekana akibebwa na kuingizwa katika gari moja lisilo na nambari za usajili katika mji wa Eldoret,umbali wa kilomita 200.
Bwana Yebei...
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Shahidi wa ICC apatikana ameuawa Kenya
Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80099000/jpg/_80099183_ruto.jpg)
Kenya 'ICC defence witness murdered'
A man found dead in Kenya over the weekend was a key witness for Deputy President William Ruto at his trial in The Hague, his lawyer says.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania