Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHAHID WA ICC APATIKANA AMEUAWA KENYA


Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC
Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake katika kesi ya naibu wa rais katika mahakama hiyo.
Ripoti za vyombo vya habari nchini Kenya zinasema kuwa mwili wa Meshash Yebei ulipatikana karibu na mto zaidi ya wiki moja baada ya kuonekana akibebwa na kuingizwa katika gari moja lisilo na nambari za usajili katika mji wa Eldoret,umbali wa kilomita 200.
Bwana Yebei...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Shahidi wa ICC apatikana ameuawa Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki apatikana ameuawa Burundi

Mwanamziki mmoja kutoka Burundi amepatikana amefariki katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura baada ya kukamatwa na polisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfungwa apatikana na simu mwilini Kenya

Mfungwa mmoja nchini Kenya amewashangaza watu baada ya simu tatu za mkononi kutolewa mwilini mwake. Aliziingizia wapi?

 

11 years ago

BBCSwahili

Spika wa Bunge apatikana hai Kenya

Spika wa Bunge la Embu nchini Kenya amepatikana hai baada ya kutoweka mapema wiki hii.

 

10 years ago

BBC

Kenya 'not co-operating with ICC'

Prosecutors ask the International Criminal Court to rule that Kenya's government is not co-operating with investigations into President Uhuru Kenyatta case.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Kenya's Kenyatta to appear at ICC

Kenyan President Uhuru Kenyatta prepares to appear before the International Criminal Court at The Hague.

 

11 years ago

BBC

Kenya court allows ICC extradition

Kenya's high court rules that journalist Walter Barasa, wanted by the International Criminal Court for bribing witnesses, can be extradited to The Hague.

 

10 years ago

GPL

MAHAKAMA YA ICC YAIONYA KENYA

Rais wa Kenya, Rais Kenyatta. Mahakama ya kimataifa ya ICC, imeonya serikali ya Kenya dhidi ya kufichua taarifa kuhusu kesi inayomkabili Rais Uhuru Kenyatta kwa vyombo vya habari nchini humo. Rais Kenyatta amekuwa Rais wa kwanza aliye mamlakani kufika katika mahakama ya ICC kusikiliza kesi inayomkabili mapema mwezi huu. Rais wa Kenya, Rais Kenyatta (kulia) akiwa na wakili wake katika… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC:Mwanahabari wa Kenya kukamatwa

Mahakama nchini Kenya imetoa kibali cha kukamatwa kwa mwandishi wa habari Walter Barasa anayetuhumiwa kwa kuwahonga mashahidi wa ICC katika kesi inayomkabili naibu Rais William Ruto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani