SHAHID WA ICC APATIKANA AMEUAWA KENYA
Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC
Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake katika kesi ya naibu wa rais katika mahakama hiyo.
Ripoti za vyombo vya habari nchini Kenya zinasema kuwa mwili wa Meshash Yebei ulipatikana karibu na mto zaidi ya wiki moja baada ya kuonekana akibebwa na kuingizwa katika gari moja lisilo na nambari za usajili katika mji wa Eldoret,umbali wa kilomita 200.
Bwana Yebei...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Shahidi wa ICC apatikana ameuawa Kenya
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Mwanamuziki apatikana ameuawa Burundi
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mfungwa apatikana na simu mwilini Kenya
11 years ago
BBCSwahili23 May
Spika wa Bunge apatikana hai Kenya
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78062000/jpg/_78062183_78042938.jpg)
Kenya 'not co-operating with ICC'
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78077000/jpg/_78077384_78077186.jpg)
VIDEO: Kenya's Kenyatta to appear at ICC
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/73698000/jpg/_73698102_70251014.jpg)
Kenya court allows ICC extradition
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TzObvhxOuafiDk20miNYSyW6QqQHX4JDWDeCiCm*nxo80iwUj8dxb0fEy6NpI-BcX6fQGrHGsygLmkm69*XTwpUWwt7G2BzY/017399190_30300.jpg?width=650)
MAHAKAMA YA ICC YAIONYA KENYA
11 years ago
BBCSwahili14 May
ICC:Mwanahabari wa Kenya kukamatwa