Mfungwa apatikana na simu mwilini Kenya
Mfungwa mmoja nchini Kenya amewashangaza watu baada ya simu tatu za mkononi kutolewa mwilini mwake. Aliziingizia wapi?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/phone-2.jpg)
MFUNGWA AMEZA SIMU NA CHAJA MBILI
Picha ya kipimo cha X-ray ikionesha simu na chaja zikiwa zimesagwasagwa ndani ya tumbo la mfungwa huyo. Simu na chaja alizomeza mfungwa huyo. Mfungwa akitoka kusalimia ndugu na jamaa zake. MFUNGWA mmoja (hakufahamika jina lake) nchini Brazil amemeza simu ya mkononi na chaja zake mbili wakati akijihami na kukataa kuingizwa gereza la Papunda liliyopo mji mkuu wa nchi hiyo, Brasilia. Tukio hilo lilitokea juzi wakati mfungwa huyo na...
10 years ago
Vijimambo05 Jan
SHAHID WA ICC APATIKANA AMEUAWA KENYA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/03/150103203238_icc_building_624x351_afp_nocredit.jpg)
Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake katika kesi ya naibu wa rais katika mahakama hiyo.
Ripoti za vyombo vya habari nchini Kenya zinasema kuwa mwili wa Meshash Yebei ulipatikana karibu na mto zaidi ya wiki moja baada ya kuonekana akibebwa na kuingizwa katika gari moja lisilo na nambari za usajili katika mji wa Eldoret,umbali wa kilomita 200.
Bwana Yebei...
11 years ago
BBCSwahili23 May
Spika wa Bunge apatikana hai Kenya
Spika wa Bunge la Embu nchini Kenya amepatikana hai baada ya kutoweka mapema wiki hii.
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Shahidi wa ICC apatikana ameuawa Kenya
Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-zDGdzXASjGs/U3sVzygzP9I/AAAAAAAAAgs/vfjDOdjiu2g/s72-c/12345.jpg)
WANAOTUMA JUMBE ZA NGONO KUPITIA SIMU KUFUNGWA JELA NCHINI KENYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-zDGdzXASjGs/U3sVzygzP9I/AAAAAAAAAgs/vfjDOdjiu2g/s1600/12345.jpg)
Adhabu hiyo itawahusu wale wanaotuma ujumbe wenye picha za watu walio uchi na zenye mada ya ngono nchini humo. Maafisa wakuu wa serikali wanasema kuwa yeyote atakayepatikana na hatia atafungwa jela kifungo cha miezi mitatu kwenda chini.
Afisa mkuu kutoka tume ya mawasiliano ya Kenya , Christopher Wambua,...
10 years ago
Bongo502 Apr
Sean Paul ajibu kuhusu tukio la kuibiwa simu lililotolea Kenya miaka 11 iliyopita jana
Katika hali ya kufurahisha au kushangaza, jana, April 1, staa wa dancehall kutoka nchini Jamaica, Sean Paul amejibu tetesi zilizowahi kuandikwa miaka 11 iliyopita kuhusu kuibiwa simu yake alipokuwa ziarani nchini Kenya. Sean Paul amepost picha ya habari iliyoandikwa kwenye blog moja ya nchini Kenya na kukanusha kilichoandikwa. “RRR!!! HABARI YENU!!! JUS WANT 2LET MY […]
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
JK amnusuru mfungwa EPA
MFANYABIASHARA, Ajay Somai, aliyetupwa jela kwa kosa la kukwapua sh bilioni 3.8 kutoka Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kwa njia ya udanganyifu, anadaiwa...
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Rufaa ya mfungwa miaka 46 baadaye
Raiya mmoja kutoka Japan amepata rufaa ya kusikizwa kwa kesi iliyomfunga miaka 46 iliyopita
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mfungwa wa zamani amzomea 'waziri'
Mfungwa wa zamani wa kambi ya Guantanamo Bay David Hicks amemzomea waziri wa Australia akiituhumu serikali kuwa na habari kuhusu matesi aliyopitia mikononi mwa mwa wanajeshi wa Marekani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania