Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shahidi wa ICC apatikana ameuawa Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHAHID WA ICC APATIKANA AMEUAWA KENYA


Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC
Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake katika kesi ya naibu wa rais katika mahakama hiyo.
Ripoti za vyombo vya habari nchini Kenya zinasema kuwa mwili wa Meshash Yebei ulipatikana karibu na mto zaidi ya wiki moja baada ya kuonekana akibebwa na kuingizwa katika gari moja lisilo na nambari za usajili katika mji wa Eldoret,umbali wa kilomita 200.
Bwana Yebei...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shahidi wa Ruto ICC auawa Kenya

Mwendesha Mkuu wa Mashtaka nchini Kenya ameamrisha kufanywan uchunguzi kufuatia mauaji ya shahidi mmoja kwenye kesi inayomkabili Naibu Rais William Ruto katika mahakama ya kimataifa ya ICC.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu shahidi wa ICC Kenya

Afisaa mmoja wa polisi nchini Kenya amesema kwamba alama za vidole za mtu aliyeuawa na kutumbukizwa ndani ya mto hazionyeshi kuwa za shahidi wa ICC Meshack Yebei aliyepotea

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki apatikana ameuawa Burundi

Mwanamziki mmoja kutoka Burundi amepatikana amefariki katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura baada ya kukamatwa na polisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,shahidi wa ICC aliyeuawa ni nani?

Marehemu Yebei alitoweka tarehe 28 mwezi Disemba na mwili wake uliokuwa na majereha kupatikana ukiolea katika mto

 

10 years ago

StarTV

Mwili wa shahidi aliyeuawa Kenya wapatikana

Serikali ya Kenya imeutambua rasmi mwili wa jamaa mmoja uliopatikana katika mbuga ya wanyama, kuwa ni wa shahidi wa mahakama ya ICC, Meshack Yebei, katika kesi inayomkabili makamu wa rais wa Kenya, William Ruto.

Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, uchunguzi wa chembechembe za DNA umehakikisha fika kuwa ni yeye.

Tangazo hilo linatarajiwa kuipa afueni familia ya Yebei, ambayo nusura izike mwili tofauti mnamo mwezi Januari, kabla ya kuambia kwamba mwili huo haukuwa wa mtoto...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shahidi mkuu kuhusu Rwanda atoweka Kenya

Shahidi mmoja muhimu wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ambaye alitarajiwa kuhojiwa na majaji Ufaransa kuhusu kudunguliwa kwa ndege ya Juvenal Habyarimana ametoweka akiwa nchini Kenya

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfungwa apatikana na simu mwilini Kenya

Mfungwa mmoja nchini Kenya amewashangaza watu baada ya simu tatu za mkononi kutolewa mwilini mwake. Aliziingizia wapi?

 

11 years ago

BBCSwahili

Spika wa Bunge apatikana hai Kenya

Spika wa Bunge la Embu nchini Kenya amepatikana hai baada ya kutoweka mapema wiki hii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani