Je,shahidi wa ICC aliyeuawa ni nani?
Marehemu Yebei alitoweka tarehe 28 mwezi Disemba na mwili wake uliokuwa na majereha kupatikana ukiolea katika mto
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV09 Mar
Mwili wa shahidi aliyeuawa Kenya wapatikana
Serikali ya Kenya imeutambua rasmi mwili wa jamaa mmoja uliopatikana katika mbuga ya wanyama, kuwa ni wa shahidi wa mahakama ya ICC, Meshack Yebei, katika kesi inayomkabili makamu wa rais wa Kenya, William Ruto.
Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, uchunguzi wa chembechembe za DNA umehakikisha fika kuwa ni yeye.
Tangazo hilo linatarajiwa kuipa afueni familia ya Yebei, ambayo nusura izike mwili tofauti mnamo mwezi Januari, kabla ya kuambia kwamba mwili huo haukuwa wa mtoto...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Utata kuhusu shahidi wa ICC Kenya
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Shahidi wa Ruto ICC auawa Kenya
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Shahidi wa ICC apatikana ameuawa Kenya
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mahakama ya ICC inamfaidi nani?
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Je, ni nani nchini Sudan atakayefanya uamuzi wa kumwasilisha Omar el Bashir katika mahakama ya ICC?
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
ICC:''Yebei aliwahonga mashahidi ICC''
10 years ago
Mwananchi21 May
NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP