Shahidi mkuu kuhusu Rwanda atoweka Kenya
Shahidi mmoja muhimu wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ambaye alitarajiwa kuhojiwa na majaji Ufaransa kuhusu kudunguliwa kwa ndege ya Juvenal Habyarimana ametoweka akiwa nchini Kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Utata kuhusu shahidi wa ICC Kenya
10 years ago
StarTV09 Mar
Mwili wa shahidi aliyeuawa Kenya wapatikana
Serikali ya Kenya imeutambua rasmi mwili wa jamaa mmoja uliopatikana katika mbuga ya wanyama, kuwa ni wa shahidi wa mahakama ya ICC, Meshack Yebei, katika kesi inayomkabili makamu wa rais wa Kenya, William Ruto.
Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, uchunguzi wa chembechembe za DNA umehakikisha fika kuwa ni yeye.
Tangazo hilo linatarajiwa kuipa afueni familia ya Yebei, ambayo nusura izike mwili tofauti mnamo mwezi Januari, kabla ya kuambia kwamba mwili huo haukuwa wa mtoto...
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Shahidi wa Ruto ICC auawa Kenya
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Shahidi wa ICC apatikana ameuawa Kenya
11 years ago
BBCSwahili06 Apr
Rwanda yaishtumu Ufaransa kuhusu mauaji
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Jumuia yatoa ripoti kuhusu DRC na Rwanda
10 years ago
TheCitizen22 Jun
Lowassa: We’ll overtake Kenya, Rwanda
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Raia wa Rwanda na Kenya huru kuingia UG
9 years ago
StarTV28 Nov
Ofisi za Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa zagongana kuhusu baa la njaa isimani iringa
Siku chache baada ya Star Tv kuripoti taarifa ya baa la njaa linalotishia maisha ya watu karibu ya 70,000 wa tarafa ya Isimani mkoani Iringa, ofisi mbili za Serikali zimegongana juu ya jambo hilo.
Wakati Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa imekilaumu kitengo cha Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kutotoa ushirikiano wa kutosha hadi watu kufikia hatua ya kula matunda pori kama chakula chao kikuu, kitengo hicho kimekanusha madai hayo kwa maelezo kuwa kuna utaratibu wa kutoa chakula cha msaada na...