Rwanda yaishtumu Ufaransa kuhusu mauaji
Serikali ya Ufaransa imetangaza kuwa inajiondoa katika maadhimisho ya miaka 20 tangia mauaji ya halaiki nchini Rwanda.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Kesi ya mshukiwa wa Rwanda yaanza Ufaransa
Kesi dhidi ya aliyekuwa afisaa wa Jeshi nchini Rwanda, Kapteni Pascal Simbikangwa aliyeshitakiwa kwa kosa la kuhusika na mauaji ya kimbare mwaka 1994 itasikilizwa leo Ufaransa.
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Ufaransa yazuia washukiwa kurudi Rwanda
Mahakama nchini Ufaransa, imezuia mipango ya kuwarejesha nyumbani washukiwa 3 wa mauaji ya halaiki nchini Rwanda mwaka 1994, kuhukumiwa mjini Kigali.
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Washukiwa wa mauaji Ufaransa wauawa
Vyombo vya habari nchini Ufaransa vimeripoti kwamba washukiwa wawili katika mauaji ya Charlie Hebdo wameuawa.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-SyImd2TIvL0/XtyF7qxPjvI/AAAAAAAC6-Y/N1hsu6qQN-Qm3e1ucQF_mTu5g7QO60t2ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
UFARANSA YAPONGEZA MAUAJI YA KIONGOZI WA AL- QAEDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SyImd2TIvL0/XtyF7qxPjvI/AAAAAAAC6-Y/N1hsu6qQN-Qm3e1ucQF_mTu5g7QO60t2ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Ufaransa imepongeza mauaji ya kiongozi wa kundi la Al-Qaeda katika eneo la Afrika Kaskazini wakati wa operesheni dhidi ya kundi hilo linalofanya mashambulizi makali katika eneo la Sahel.
Waziri wa ulinzi wa Ufaransa Florence Parly, amesema kuwa Abdelmalek Droukdel aliuawa na wanajeshi wa Ufaransa siku ya Alhamisi katika eneo la Kaskazini mwa Mali karibu na mpaka na Algeria ambapo kundi hilo lina ngome zake linalozitumia kufanya mashambulizi ya mabomu na utekaji nyara wa raia wa...
11 years ago
BBCSwahili09 Apr
Makovu ya mauaji ya Kimbari Rwanda
Imekuwa ni miaka 20 sasa tangu mauaji ya kimbari yasababishe vifo vya watu zaidi ya laki nane nchini Rwanda.
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Mtuhumiwa wa mauaji ya Rwanda akamatwa
Marekani inasema kuwa mtu mmoja anayetuhumiwa kuhusika pakubwa katika mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994, amekamatwa.
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Siku 100 za mauaji ya Rwanda
Kwa nini mume alimuua mke, jirani akamuua jirani na mamia ya wanawake kufanywa watumwa wa ngono Rwanda?
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Rwanda yakumbuka mauaji ya Kimbari
Watu nchini Rwanda wanaadhimisha miaka 20 tangu kutokea mauaji ya kimbari mwaka 1994 kwa kuwakumbuka maelfu waliouawa
11 years ago
BBCSwahili10 Apr
Makao ya watuhumiwa wa mauaji Rwanda
Licha ya kuachiwa uhuru Je wajua kuna watu wameogopa kurejea Rwanda
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania