Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rwanda yaishtumu Ufaransa kuhusu mauaji

Serikali ya Ufaransa imetangaza kuwa inajiondoa katika maadhimisho ya miaka 20 tangia mauaji ya halaiki nchini Rwanda.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya mshukiwa wa Rwanda yaanza Ufaransa

Kesi dhidi ya aliyekuwa afisaa wa Jeshi nchini Rwanda, Kapteni Pascal Simbikangwa aliyeshitakiwa kwa kosa la kuhusika na mauaji ya kimbare mwaka 1994 itasikilizwa leo Ufaransa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yazuia washukiwa kurudi Rwanda

Mahakama nchini Ufaransa, imezuia mipango ya kuwarejesha nyumbani washukiwa 3 wa mauaji ya halaiki nchini Rwanda mwaka 1994, kuhukumiwa mjini Kigali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa mauaji Ufaransa wauawa

Vyombo vya habari nchini Ufaransa vimeripoti kwamba washukiwa wawili katika mauaji ya Charlie Hebdo wameuawa.

 

5 years ago

CCM Blog

UFARANSA YAPONGEZA MAUAJI YA KIONGOZI WA AL- QAEDA


Ufaransa imepongeza mauaji ya kiongozi wa kundi la Al-Qaeda katika eneo la Afrika Kaskazini wakati wa operesheni dhidi ya kundi hilo linalofanya mashambulizi makali katika eneo la Sahel. 


Waziri wa ulinzi wa Ufaransa Florence Parly, amesema kuwa Abdelmalek Droukdel aliuawa na wanajeshi wa Ufaransa siku ya Alhamisi katika eneo la Kaskazini mwa Mali karibu na mpaka na Algeria ambapo kundi hilo lina ngome zake linalozitumia kufanya mashambulizi ya mabomu na utekaji nyara wa raia wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Makovu ya mauaji ya Kimbari Rwanda

Imekuwa ni miaka 20 sasa tangu mauaji ya kimbari yasababishe vifo vya watu zaidi ya laki nane nchini Rwanda.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtuhumiwa wa mauaji ya Rwanda akamatwa

Marekani inasema kuwa mtu mmoja anayetuhumiwa kuhusika pakubwa katika mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994, amekamatwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Siku 100 za mauaji ya Rwanda

Kwa nini mume alimuua mke, jirani akamuua jirani na mamia ya wanawake kufanywa watumwa wa ngono Rwanda?

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda yakumbuka mauaji ya Kimbari

Watu nchini Rwanda wanaadhimisha miaka 20 tangu kutokea mauaji ya kimbari mwaka 1994 kwa kuwakumbuka maelfu waliouawa

 

11 years ago

BBCSwahili

Makao ya watuhumiwa wa mauaji Rwanda

Licha ya kuachiwa uhuru Je wajua kuna watu wameogopa kurejea Rwanda

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani