Ufaransa yazuia washukiwa kurudi Rwanda
Mahakama nchini Ufaransa, imezuia mipango ya kuwarejesha nyumbani washukiwa 3 wa mauaji ya halaiki nchini Rwanda mwaka 1994, kuhukumiwa mjini Kigali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Washukiwa wa mauaji Ufaransa wauawa
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Washukiwa Ufaransa wapora kituo
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Polisi Ufaransa watoa picha za washukiwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0uMX6j0VBUnI7yVqxrQT8AipboQogleXA*DidApPZiQiz6OJcpVg4BBmq2m35u6xEqhD2EiwiFaW6jEKEXnp1VQx*DPF8wOB/1.jpg?width=750)
POLISI UFARANSA YAUA WASHUKIWA SHAMBULIZI LA CHARLIE
10 years ago
StarTV08 Jan
Washukiwa Ufaransa wapora kituo cha mafuta.
Washukiwa wa mauaji ya wachora vibonzo nchini Ufaransa, wanadaiwa kufanya wizi katika kituo cha mafuta Kaskazini mwa Ufaransa huku wakiwa mbioni kutorotoka polisi.
Inaarifiwa washukiwa hao wawili ambao ni mandugu, waliiba chakula na petroli huku wakifyatua risasi karibu na eneo la Villers-Cotterets.
Watu nchini ufaransa wamesimama kimya kwa dakika moja kwa heshima ya watu 12 waliouawa na watu wenye silaha walipovamia gazeti moja la vichekesho la Charlie Hebdo siku ya Jumatano
Huku polisi...
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Washukiwa wa bomu bandia ndege ya Air France wakamatwa Ufaransa
Watuthumiwa hao (kushoto) baada ya kukamatwa.
MAOFISA wa Polisi nchini Ufaransa wamewatia mbaroni abiria wawili wa ndege hiyo ambao ni mke na mme liokuwa abiria katika ndege ya Air France Boeing 777 nambari AF463 iliyolazimika kutua kwa dharura nchini Kenya hapo jana kufuatia tishio la bomu.
Duru zinasema kuwa wawili hao ambao majina yao bado hayawekwa hadharani walikamatwa punde baada ya kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Charles de Gaulle nchini Ufaransa.
Waliokamatwa ni ofisa mmoja...
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mahakama ya mauaji ya Rwanda yafunga washukiwa
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Kesi ya mshukiwa wa Rwanda yaanza Ufaransa
11 years ago
BBCSwahili06 Apr
Rwanda yaishtumu Ufaransa kuhusu mauaji