Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


POLISI UFARANSA YAUA WASHUKIWA SHAMBULIZI LA CHARLIE

Makomandoo wakirusha mabomu sambamba na moto katika Glosary kabla ya kumkabili mtekaji, Amedy Coulibaly.
Picha ikiwaonyesha maofisa polisi wakiwa wameuzunguka mwili wa mtekaji, Amedy Coulibaly.
Baadhi ya…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Polisi Ufaransa watoa picha za washukiwa

Polisi wa Ufaransa wametoa majina na picha ya washukiwa waliohusika na shambulio katika ofisi za jarida la vibonzo nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa Charlie Hebdo wazingirwa

Milio ya risasi imesikika na kuna ripoti huku maafisa wa polisi wa Ufaransa wakiwazingira washukiwa wa Charlie Hebdo

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa mauaji Ufaransa wauawa

Vyombo vya habari nchini Ufaransa vimeripoti kwamba washukiwa wawili katika mauaji ya Charlie Hebdo wameuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa Ufaransa wapora kituo

Washukiwa wa mauaji ya wachora vibonzo nchini Ufaransa, wanadaiwa kufanya wizi katika kituo cha mafuta Kaskazini mwa Ufaransa huku wakiwa mbioni kutorotoka polisi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yazuia washukiwa kurudi Rwanda

Mahakama nchini Ufaransa, imezuia mipango ya kuwarejesha nyumbani washukiwa 3 wa mauaji ya halaiki nchini Rwanda mwaka 1994, kuhukumiwa mjini Kigali.

 

10 years ago

StarTV

Washukiwa Ufaransa wapora kituo cha mafuta.

Washukiwa wa mauaji ya wachora vibonzo nchini Ufaransa, wanadaiwa kufanya wizi katika kituo cha mafuta Kaskazini mwa Ufaransa huku wakiwa mbioni kutorotoka polisi.

Inaarifiwa washukiwa hao wawili ambao ni mandugu, waliiba chakula na petroli huku wakifyatua risasi karibu na eneo la Villers-Cotterets.

Watu nchini ufaransa wamesimama kimya kwa dakika moja kwa heshima ya watu 12 waliouawa na watu wenye silaha walipovamia gazeti moja la vichekesho la Charlie Hebdo siku ya Jumatano

Huku polisi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Washirika wa shambulizi Ufaransa wasakwa

Polisi nchini Ufaransa wamesema kuwa wanawasaka washirika wa mhusika wa shambulizi la kigaidi Amedy Coulibady.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waliotibua shambulizi watuzwa Ufaransa

Rais wa Ufaransa Francois Hollande amatoa tuzo la juu zaidi nchini Ufaransa kwa Waamerika wanne ambao walitibua shambulizi la kigaidi kwenye treni ya mwendo wa kasi kwenda mjini Paris siku ya Jumamosi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani