Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliotibua shambulizi watuzwa Ufaransa

Rais wa Ufaransa Francois Hollande amatoa tuzo la juu zaidi nchini Ufaransa kwa Waamerika wanne ambao walitibua shambulizi la kigaidi kwenye treni ya mwendo wa kasi kwenda mjini Paris siku ya Jumamosi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Washirika wa shambulizi Ufaransa wasakwa

Polisi nchini Ufaransa wamesema kuwa wanawasaka washirika wa mhusika wa shambulizi la kigaidi Amedy Coulibady.

 

10 years ago

GPL

POLISI UFARANSA YAUA WASHUKIWA SHAMBULIZI LA CHARLIE

Makomandoo wakirusha mabomu sambamba na moto katika Glosary kabla ya kumkabili mtekaji, Amedy Coulibaly.
Picha ikiwaonyesha maofisa polisi wakiwa wameuzunguka mwili wa mtekaji, Amedy Coulibaly.
Baadhi ya…

 

11 years ago

BBCSwahili

Messi na Nuer watuzwa na FIFA

Mshambulizi wa Argentina Lionell Messi na Kipa wa Ujerumani watuzwa na FIFA

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger na Giroud watuzwa na EPL

Olivier Giroud na kocha Arsene Wenger wamechaguliwa kama washindi wa taji la mwezi la mchezaji bora na mkufunzi bora

 

10 years ago

BBCSwahili

Punda watuzwa kwa uaminifu na bidii

Punda wawili wamepatiwa tuzo na mwanasiasa mmoja wakielezwa kuwa na uaminifu kuliko binadamu

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI MGODI WA NORTH MARA WATUZWA KWA UMAHIRI NA UMAKINI KATIKA KAZI

Meneje Mkuu wa Mgodi wa North Mara, Gary Chapman, akizungumza kwenye hafla ya awamu ya pili ya utoaji tuzo za umahiri mwaka 2014 (CEO Excellence Awards 2014), iliyofanyika Jumanne usiku Machi 23, 2014, kwenye mgodi huo ulioko Nyamongo, wilayani Tarime mkoa wa Mara.Meneja mkuu wa mgodi wa North Mara, Gary Chapman, (kushoto), akishuhudia wakati Le Poer Trench, (katikati) na Albert Rudman, wakionyesha tuzo za umahiri za mwaka 2014, (CEO ECellence Aawards 2014), walizopokea kwa niaba ya idara ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi laua 45 Nigeria

Wanawake na watoto wachanga zaidi ya 45 wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa katika kijiji kimoja huko Egba katika jimbo la Benue Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Walioshuhudia shambulizi la Garissa

Kufuatia shambulizi la chuo kikuu cha Garissa nchini Kenya baadhi ya wanafunzi waliweza kusema yale walioshuhudia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la Thailand lalaaniwa

Waziri mkuu wa Thailand ametaja shambulizi la bomu ambalo lilitokea mjini Bankok kisa kibaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani