Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenger na Giroud watuzwa na EPL

Olivier Giroud na kocha Arsene Wenger wamechaguliwa kama washindi wa taji la mwezi la mchezaji bora na mkufunzi bora

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Messi na Nuer watuzwa na FIFA

Mshambulizi wa Argentina Lionell Messi na Kipa wa Ujerumani watuzwa na FIFA

 

9 years ago

BBCSwahili

Waliotibua shambulizi watuzwa Ufaransa

Rais wa Ufaransa Francois Hollande amatoa tuzo la juu zaidi nchini Ufaransa kwa Waamerika wanne ambao walitibua shambulizi la kigaidi kwenye treni ya mwendo wa kasi kwenda mjini Paris siku ya Jumamosi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Punda watuzwa kwa uaminifu na bidii

Punda wawili wamepatiwa tuzo na mwanasiasa mmoja wakielezwa kuwa na uaminifu kuliko binadamu

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI MGODI WA NORTH MARA WATUZWA KWA UMAHIRI NA UMAKINI KATIKA KAZI

Meneje Mkuu wa Mgodi wa North Mara, Gary Chapman, akizungumza kwenye hafla ya awamu ya pili ya utoaji tuzo za umahiri mwaka 2014 (CEO Excellence Awards 2014), iliyofanyika Jumanne usiku Machi 23, 2014, kwenye mgodi huo ulioko Nyamongo, wilayani Tarime mkoa wa Mara.Meneja mkuu wa mgodi wa North Mara, Gary Chapman, (kushoto), akishuhudia wakati Le Poer Trench, (katikati) na Albert Rudman, wakionyesha tuzo za umahiri za mwaka 2014, (CEO ECellence Aawards 2014), walizopokea kwa niaba ya idara ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Giroud ahesabiwa saa Arsenal

Licha ya kung’ara na kuivusha klabu yake, Arsenal dhidi ya Olympiakos, Jumatano usiku kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, lakini mshambuliaji Olivier Giroud ameambiwa jambo ambalo litamnyima usingizi.

 

9 years ago

Mtanzania

Giroud akiri kufunga kwa mkono

Olivier Giroud says Arsenal have the players and team spirit to be serious contenders next season.LONDON, ENGLAND

MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Olivier Giroud, amekiri kuwa mkono wake ulisaidia kupatikana kwa bao la kwanza la timu yake katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich juzi usiku kwenye Uwanja wa Emirates, England.

Katika mchezo huo wa raundi ya tatu wa Kundi F, Arsenal walishinda mabao 2-0, lingine likiwekwa kimiani dakika za majeruhi na kiungo Mjerumani, Mesut Ozil.

Mfaransa huyo aliyeingia uwanjani dakika 13 kabla ya mchezo kumalizika, alifunga bao dakika tatu...

 

5 years ago

MillardAyo

Giroud ameanza kazi tayari akiwa Chelsea

Tukiwa tunasubiria game ya UEFA Champions League kati ya Barcelona dhidi ya Chelsea, usiku wa February 16 Chelsea imecheza game yake ya FA Cup dhidi ya Hull City katika uwanja wao wa Stamford Bridge. Chelsea licha ya kuwa imekuwa haifanyi vizuri katika Ligi Kuu kwa baadhi ya mechi zao kiasi cha kuhesabiwa kuwa msimu huu […]

 

9 years ago

Bongo5

Olivier Giroud aingia kwenye vitabu vya rekodi za Arsenal

2F56C70800000578-0-image-m-23_1450049724758

Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal na timu ya tafifa ya Ufaransa Olivier Giroud baada ya kufunga wikiend hii amefikisha idadi ya magoli 50 katika ligi ya EPL goli hilo la mkwaju wa penati katika mchezo dhidi ya Aston Villa baada ya Alan Hutton kumvuta Theo Walcott kwenye eneo la box.

2F56C70800000578-0-image-m-23_1450049724758

2F59569700000578-3358700-image-a-40_1450051755102

Giroud alifunga mkwaju huo wa penati na kufikisha magoli 14 msimu huu na kuwa mchezaji wa saba wa Arsenal kufunga magoli 50 kwenye ligi ya EPL wakati yeye ikimchukua michezo 113 kufikia rekodi hiyo.

2F56C0DB00000578-0-image-a-24_1450049738140

Wachezaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani