Wenger na Giroud watuzwa na EPL
Olivier Giroud na kocha Arsene Wenger wamechaguliwa kama washindi wa taji la mwezi la mchezaji bora na mkufunzi bora
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Jul
Messi na Nuer watuzwa na FIFA
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Waliotibua shambulizi watuzwa Ufaransa
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Punda watuzwa kwa uaminifu na bidii
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QuPZnk4ZjOU/VREO0h5eLVI/AAAAAAAHMuY/gYSn4zd73io/s72-c/Chapman.jpg)
WAFANYAKAZI MGODI WA NORTH MARA WATUZWA KWA UMAHIRI NA UMAKINI KATIKA KAZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-QuPZnk4ZjOU/VREO0h5eLVI/AAAAAAAHMuY/gYSn4zd73io/s1600/Chapman.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JSvht5FNrQs/VREO0qHt9UI/AAAAAAAHMuc/94IhGIHcSv0/s1600/Chapman_Albert_Le%2Bpoer%2Btrench.jpg)
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Giroud ahesabiwa saa Arsenal
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Giroud akiri kufunga kwa mkono
LONDON, ENGLAND
MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Olivier Giroud, amekiri kuwa mkono wake ulisaidia kupatikana kwa bao la kwanza la timu yake katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich juzi usiku kwenye Uwanja wa Emirates, England.
Katika mchezo huo wa raundi ya tatu wa Kundi F, Arsenal walishinda mabao 2-0, lingine likiwekwa kimiani dakika za majeruhi na kiungo Mjerumani, Mesut Ozil.
Mfaransa huyo aliyeingia uwanjani dakika 13 kabla ya mchezo kumalizika, alifunga bao dakika tatu...
5 years ago
MillardAyo10 Mar
Giroud ameanza kazi tayari akiwa Chelsea
9 years ago
Bongo514 Dec
Olivier Giroud aingia kwenye vitabu vya rekodi za Arsenal
![2F56C70800000578-0-image-m-23_1450049724758](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F56C70800000578-0-image-m-23_1450049724758-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal na timu ya tafifa ya Ufaransa Olivier Giroud baada ya kufunga wikiend hii amefikisha idadi ya magoli 50 katika ligi ya EPL goli hilo la mkwaju wa penati katika mchezo dhidi ya Aston Villa baada ya Alan Hutton kumvuta Theo Walcott kwenye eneo la box.
Giroud alifunga mkwaju huo wa penati na kufikisha magoli 14 msimu huu na kuwa mchezaji wa saba wa Arsenal kufunga magoli 50 kwenye ligi ya EPL wakati yeye ikimchukua michezo 113 kufikia rekodi hiyo.
Wachezaji...