Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shambulizi laua 45 Nigeria

Wanawake na watoto wachanga zaidi ya 45 wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa katika kijiji kimoja huko Egba katika jimbo la Benue Nigeria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kujitoa mhanga laua 15

Watu 15 wameuawa baada ya mshambulizi wa kujitolea mhanga kulipua bomu Maiduguri

 

9 years ago

BBCSwahili

Shambulizi laua 8 mjini Mogadishu

Utawala nchini Somalia unasema kuwa takriban watu 8 wameuwa walati wanamgambo waliposhambulia hoteli moja mjini Mogadishu

 

9 years ago

GPL

SHAMBULIZI LAUA 15 MJINI MOGADISHU

Gari likiwaka moto baada ya utekelezwaji wa shambulio hilo. Utawala nchini Somalia unasema kuwa takriban watu 15wameuawa wakati wanamgambo waliposhambulia hoteli moja mjini Mogadishu. Muonekano wa Hoteli hiyo baada ya shambulizi. Hoteli hiyo ambayo iko kwenye moja ya mitaa yenye shughuli nyingi mjini humo mara nyingi hutumiwa na wabunge na maafisa wa serikali, Kundi la kiislamu la al Shabaab limekili kutekeleza… ...

 

11 years ago

Habarileo

Shambulizi la kigaidi laua sita Kenya

WATU sita wameuawa na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California, mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi, Benson Kibue alisema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha mabomu katika migahawa miwili midogo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi sokoni Gaza laua watu 15

Shambulizi la majeshi ya Israeli kwenye soko moja huko Gaza limewaua watu 15.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kujitoa mhanga Nigeria

Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari moja limelipuka mjini Maiduguri Kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuna hofu ya watu wengi kujeruhiwa.

 

10 years ago

GPL

LORI LA MAFUTA LAUA 70 NIGERIA

Lori lililopata ajali, hapa jitihada ya kuzima moto huo zikiendelea. Takribani watu 70 wamefariki dunia huko mashariki mwa Nigeria baada ya lori la kubeba mafuta kushika moto na kuteketea vibaya. Police wanasema huenda kilichosababisha moto huo ni ajali. Walioshuhudia wanasema dereva wa gari hilo alishindwa kulidhibiti ndipo likakosa mwelekeo na kutoka barabarani na kuwagonga watu waliokuwa wakisubiri usafiri katika kituo kimoja...

 

11 years ago

BBCSwahili

Taarifa mpya kuhusu shambulizi Nigeria

Askofu wa kanisa lililoshambuliwa Jumapili, Yola, Mamza Dami Stephen, ameambia BBC kuwa washambuliaji waliwapiga risasi wote waliojaribu kutoroka

 

11 years ago

BBCSwahili

17 wauawa katika shambulizi Borno,Nigeria

Watu 17 wameuawa katika shambulizi lililofanywa dhidi ya kijiji kimoja katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani