Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shambulizi la kujitoa mhanga Nigeria

Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari moja limelipuka mjini Maiduguri Kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuna hofu ya watu wengi kujeruhiwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kujitoa mhanga laua 15

Watu 15 wameuawa baada ya mshambulizi wa kujitolea mhanga kulipua bomu Maiduguri

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuaji wa kujitoa mhanga awaua 4 Saudia

Watu wanne wameuwawa baada mlipuaji wa kujitolea mhanga kujilipua nje ya msikiti mmoja wa waislamu washia nchini Saudi Arabia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake wa kujitoa mhanga washambulia Maiduguri

Wanawake kadha wa kujitoa mhanga wametekeleza mashambulio ya mabomu katika mji wa Maiduguri, Nigeria.

 

10 years ago

Vijimambo

MLIPUKO WA BOMO LA KUJITOA MHANGA JIJINI KABUL WAUWA WATU WATATU NA KUJERUHI 20

Watu wapatao watatu wamekufa kufuatia shambulio la bomu la kujitoa muhanga karibu na eneo la kuingilia uwanja wa ndege wa Kimataifa Jijini Kabul nchini Afghanistan.Shambulio hilo limefanywa karibu na eneo linalotumiwa kuegesha magari ya wanajeshi, na pia lililenga gari la mafunzo ya polisi la vikosi vya Ulaya.
Mtu mmoja aliyekuwa ndani ya gari alikufa pamoja na watoto wawili wa kike wa Afghan, ambapo pia watu wapatao 20 wamejeruhiwa. Kundi la Taliban limekiri kufanya shambulio hio.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake 2 wajitoa mhanga Nigeria

Wanawake wawili washambuliaji wa kujitoa mhanga wamewaua watu watatu kwenye shambulizi katika mji wa Maiduguri nchini Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamke ajitoa mhanga chuoni Nigeria

Walioshuhudia shambulizi hilo wanasema kuwa bomu lililipuka huku mwanamke huyo akijiandaa kuingia katika ukumbi uliokuwa umejaa wanafunzi mjini Kontagora.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi laua 45 Nigeria

Wanawake na watoto wachanga zaidi ya 45 wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa katika kijiji kimoja huko Egba katika jimbo la Benue Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

Taarifa mpya kuhusu shambulizi Nigeria

Askofu wa kanisa lililoshambuliwa Jumapili, Yola, Mamza Dami Stephen, ameambia BBC kuwa washambuliaji waliwapiga risasi wote waliojaribu kutoroka

 

11 years ago

BBCSwahili

17 wauawa katika shambulizi Borno,Nigeria

Watu 17 wameuawa katika shambulizi lililofanywa dhidi ya kijiji kimoja katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani