Shambulizi la kujitoa mhanga Nigeria
Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari moja limelipuka mjini Maiduguri Kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuna hofu ya watu wengi kujeruhiwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Shambulizi la kujitoa mhanga laua 15
Watu 15 wameuawa baada ya mshambulizi wa kujitolea mhanga kulipua bomu Maiduguri
10 years ago
BBCSwahili29 May
Mlipuaji wa kujitoa mhanga awaua 4 Saudia
Watu wanne wameuwawa baada mlipuaji wa kujitolea mhanga kujilipua nje ya msikiti mmoja wa waislamu washia nchini Saudi Arabia.
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Wanawake wa kujitoa mhanga washambulia Maiduguri
Wanawake kadha wa kujitoa mhanga wametekeleza mashambulio ya mabomu katika mji wa Maiduguri, Nigeria.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-w9gSqciqehQ/VVh-kUzpLpI/AAAAAAAA9e4/QB6hksMXsAc/s72-c/Ka.jpg)
MLIPUKO WA BOMO LA KUJITOA MHANGA JIJINI KABUL WAUWA WATU WATATU NA KUJERUHI 20
![](http://4.bp.blogspot.com/-w9gSqciqehQ/VVh-kUzpLpI/AAAAAAAA9e4/QB6hksMXsAc/s640/Ka.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2gVC9staojs/VVh-lbFSLQI/AAAAAAAA9e8/mPSI4IBYKmU/s640/Ka1.jpg)
Mtu mmoja aliyekuwa ndani ya gari alikufa pamoja na watoto wawili wa kike wa Afghan, ambapo pia watu wapatao 20 wamejeruhiwa. Kundi la Taliban limekiri kufanya shambulio hio.
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
Wanawake 2 wajitoa mhanga Nigeria
Wanawake wawili washambuliaji wa kujitoa mhanga wamewaua watu watatu kwenye shambulizi katika mji wa Maiduguri nchini Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Mwanamke ajitoa mhanga chuoni Nigeria
Walioshuhudia shambulizi hilo wanasema kuwa bomu lililipuka huku mwanamke huyo akijiandaa kuingia katika ukumbi uliokuwa umejaa wanafunzi mjini Kontagora.
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Shambulizi laua 45 Nigeria
Wanawake na watoto wachanga zaidi ya 45 wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa katika kijiji kimoja huko Egba katika jimbo la Benue Nigeria
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Taarifa mpya kuhusu shambulizi Nigeria
Askofu wa kanisa lililoshambuliwa Jumapili, Yola, Mamza Dami Stephen, ameambia BBC kuwa washambuliaji waliwapiga risasi wote waliojaribu kutoroka
11 years ago
BBCSwahili21 May
17 wauawa katika shambulizi Borno,Nigeria
Watu 17 wameuawa katika shambulizi lililofanywa dhidi ya kijiji kimoja katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania