Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke ajitoa mhanga chuoni Nigeria

Walioshuhudia shambulizi hilo wanasema kuwa bomu lililipuka huku mwanamke huyo akijiandaa kuingia katika ukumbi uliokuwa umejaa wanafunzi mjini Kontagora.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ajitoa mhanga na kuwaua 12 Somalia

Mlipuaji wa kujitoa mhanga amejilipua na kuwaua watu 12 katika msafara wa majeshi ya Muungano wa Afrika mjini Mogadishu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Talha Asmal ajitoa mhanga,Iraq

Kijana kutoka eneo la West Yorkshire nchini Uingereza anaaminika kuwa kijana mdogo kuliko wote Mwingereza kuripotiwa kujilipua

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake 2 wajitoa mhanga Nigeria

Wanawake wawili washambuliaji wa kujitoa mhanga wamewaua watu watatu kwenye shambulizi katika mji wa Maiduguri nchini Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kujitoa mhanga Nigeria

Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari moja limelipuka mjini Maiduguri Kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuna hofu ya watu wengi kujeruhiwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Nyota mwingine wa Nigeria ajitoa Super Eagles

Nyota wa timu ya taifa ya Nigeria Super Eagles Emmanuel Emenike ametangaza kwamba amestaafu kutoka kwa timu hiyo ya taifa.

 

10 years ago

Michuzi

Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini

 Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Dodoma SACP David Misime---Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini  tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30 (kumi na moja alfajiri).        Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP David Misime  ameeleza kuwa chanzo cha wananfunzi hao wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke ashambulia kambi Nigeria

Mwanamke aliyejitolea mhanga ashambulia kambi ya jeshi la Nigeria kaskazini-mashariki mwa nchi

 

5 years ago

BBCSwahili

Hauwa Ali Mariri: Mwanamke aliyeolewa na wanaume wawili Nigeria

Mgogoro mkali wa kimapenzi umeibuka katika jimbo la Kano nchini Nigeria ambapo wanaume wawili walimuoa mwanamke mmoja wakati tofauti.

 

9 years ago

MillardAyo

Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa?

Katika maisha kila mtu ana malengo na mipango yake, hata tukija katika ishu za kutafuta mchumba au kuoa kila mtu ana vigezo vyake, basi mimekutana na kigezo cha mmoja kati ya rapper wakali kutoka Nigeria ambaye jina lake la kuzaliwa ni Jude Abaga ila mtaani anafahamika kama Mr Incredible (MI). MI Abaga ambaye ni CEO wa […]

The post Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa? appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani