Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke ashambulia kambi Nigeria

Mwanamke aliyejitolea mhanga ashambulia kambi ya jeshi la Nigeria kaskazini-mashariki mwa nchi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Mzee Kambi: Nilikaa Miaka Saba Bila Mwanamke

Mwigizaji mkongwe wa filamu nchini, Hashim Kambi ‘Mzee Kambi’ alikuwa mvumilivu na kuishi bila mwanamke kwa muda wa miaka saba mpaka alipoamua kuoa mwezi wa kumi mwaka huu.

Akipiga stori na GPL, Mzee Kambi alisema kwa muda wote huo alikuwa akishughulika zaidi na kazi kwani tayari ana watoto wakubwa na hakuona haja ya kuwa na mwanamke hadi alipoamua kumuoa mchumba wake ambaye ni raia wa Burundi aliyemtaja kwa jina moja la Hadija.

“Namshukuru Mungu kwamba amenipa mke mwema, uzuri ni kwamba...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yathibitisha kutekwa kwa kambi

Waziri wa Ulinzi wa Nigeria amethibitisha kuwa kambi yake moja ya kijeshi mpakani mwa Nigeria na Chad, imetwaliwa na wapiganaji

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lateka kambi ya jeshi Nigeria

Maafisa Nigeria wanasema kuwa kundi la Boko Haram limeuteka mji na kambi moja ya kijeshi inayotumiwa na wanajeshi wa kimataifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamke ajitoa mhanga chuoni Nigeria

Walioshuhudia shambulizi hilo wanasema kuwa bomu lililipuka huku mwanamke huyo akijiandaa kuingia katika ukumbi uliokuwa umejaa wanafunzi mjini Kontagora.

 

5 years ago

BBCSwahili

Hauwa Ali Mariri: Mwanamke aliyeolewa na wanaume wawili Nigeria

Mgogoro mkali wa kimapenzi umeibuka katika jimbo la Kano nchini Nigeria ambapo wanaume wawili walimuoa mwanamke mmoja wakati tofauti.

 

11 years ago

Habarileo

Jambazi ashambulia basi la Magereza

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius WamburaBASI la Magereza linalobeba mahabusi na wafungwa, jana lilishambuliwa kwa risasi na jambazi na kusababisha askari wawili na mahabusi mmoja kujeruhiwa.

 

9 years ago

GPL

ASHAMBULIA CHUO NA KUUA WATU 9 MAREKANI

Mmoja wa majeruhi katika shambulio la Oregon akipatiwa huduma ya kwanza. Muuaji wa watu tisa katika shambulio hilo, Chris Harper-Mercer, 26, enzi za uhai wake.
Baadhi ya wafanyakazi na wanafunzi wa Umpqua wakiwa na sintofahamu baada ya kutokea shambulio…

 

10 years ago

Vijimambo

LISU ASHAMBULIA JUKWAA KWA SAA MBILI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira akikata utepe wakati wa uzinduzi wa album ya nyimbo za injili ya ‘Uko Hapa’ yenye nyimbo 18 ya mwimbaji,  John Lisu wakati wa uzinduzi wa album hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, mwishoni wiki. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama ambaye ni mdhamini wa uzinduzi huo.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira akionyesha album...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lisu ashambulia jukwaa kwa saa mbili Diamond

MWIMBAJI nguli wa muziki wa Injili Tanzania, John juzi alikonga nyoyo za mamia ya wadau waliojitokeza katika uzinduzi wa albamu yake ya Uko Hapa yenye nyimbo 18, uliofanyika katika Diamond...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani