Mlipuaji wa kujitoa mhanga awaua 4 Saudia
Watu wanne wameuwawa baada mlipuaji wa kujitolea mhanga kujilipua nje ya msikiti mmoja wa waislamu washia nchini Saudi Arabia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Mlipuaji awuawa watu 15 msikitini Saudia
Mlipuaji wa kujitoa mhanga amefanya shambulio katika msikiti mmoja huko Saudia na kusababisha vifo vya watu 15.
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Shambulizi la kujitoa mhanga laua 15
Watu 15 wameuawa baada ya mshambulizi wa kujitolea mhanga kulipua bomu Maiduguri
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Shambulizi la kujitoa mhanga Nigeria
Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari moja limelipuka mjini Maiduguri Kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuna hofu ya watu wengi kujeruhiwa.
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Wanawake wa kujitoa mhanga washambulia Maiduguri
Wanawake kadha wa kujitoa mhanga wametekeleza mashambulio ya mabomu katika mji wa Maiduguri, Nigeria.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-w9gSqciqehQ/VVh-kUzpLpI/AAAAAAAA9e4/QB6hksMXsAc/s72-c/Ka.jpg)
MLIPUKO WA BOMO LA KUJITOA MHANGA JIJINI KABUL WAUWA WATU WATATU NA KUJERUHI 20
![](http://4.bp.blogspot.com/-w9gSqciqehQ/VVh-kUzpLpI/AAAAAAAA9e4/QB6hksMXsAc/s640/Ka.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2gVC9staojs/VVh-lbFSLQI/AAAAAAAA9e8/mPSI4IBYKmU/s640/Ka1.jpg)
Mtu mmoja aliyekuwa ndani ya gari alikufa pamoja na watoto wawili wa kike wa Afghan, ambapo pia watu wapatao 20 wamejeruhiwa. Kundi la Taliban limekiri kufanya shambulio hio.
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Mlipuaji awauwa watu 6 Nigeria
Ripoti kutoka Nigeria zinasema mshambuliaji wa kike ya kutolea mhanga ameshambulia kituo kikuu cha basi katika mji wa Kaskazini Mashariki wa Damaturu na kusababisha mauaji ya watu sita.
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Mama awaua wanawe 3 walemavu
Mama anayetuhumiwa kuwaua watoto wake 3 nchini Uingereza amewekwa rumande kwa ukaguzi wa kiakili kabla ya kesi kuanza dhidi yake
10 years ago
BBCSwahili18 May
Muuguzi awaua wagonjwa wake Uingereza
Muuguzi mmoja amehukumiwa kwa makosa ya kuwaua wagonjwa wake wawili na kuwapa wengine 20 sumu katika hospitali ya Greater Manchester.
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mtu mmoja awaua wanajeshi 4 wa Marekani
Mtu mwenye silaha amewaua askari wanne wa jeshi la wanamaji wa Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo mawili ya jeshi hilo katika mji wa Chattanooga, Tennessee.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania