Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlipuaji awauwa watu 6 Nigeria

Ripoti kutoka Nigeria zinasema mshambuliaji wa kike ya kutolea mhanga ameshambulia kituo kikuu cha basi katika mji wa Kaskazini Mashariki wa Damaturu na kusababisha mauaji ya watu sita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuaji awuawa watu 15 msikitini Saudia

Mlipuaji wa kujitoa mhanga amefanya shambulio katika msikiti mmoja huko Saudia na kusababisha vifo vya watu 15.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanajeshi awauwa wenzake 3 Marekani

Miaka mitano baada ya tukio la kwanza mwanajeshi mwengine amewaua wenzake watatu kwa risasi Fort Hood Texas

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuaji wa kujitoa mhanga awaua 4 Saudia

Watu wanne wameuwawa baada mlipuaji wa kujitolea mhanga kujilipua nje ya msikiti mmoja wa waislamu washia nchini Saudi Arabia.

 

10 years ago

BBCSwahili

watu 30 wauawa Nigeria

Mashambulio mawili ya mabomu katika mji wa Jos nchini Nigeria yamewaua takribani watu 30.

 

10 years ago

BBCSwahili

Milipuko yawaua watu 50 Nigeria

Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya mabomu siku ya jumamosi kwenye mji wa Maiduguri

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu 47 Nigeria

Jeshi nchini Nigeria linasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa katika soko moja kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno ambapo watu 47 wamefariki huku wengine 55 wakijeruhiwa katika mji wa sabon gari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 25 wauawa Zaria Nigeria

Maafisa wa serikali Kaskazini mwa Nigeria wamesema watu 25 wameuawa katika shambulio la bomu la kujitolea mhanga katika mji wa Zaria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Watu 29 wauawa msikitini

Watu 29 wameuawa kati mji mkuu wa jimbo la Borno Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kujilipua ndani ya msikiti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani