Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muuguzi awaua wagonjwa wake Uingereza

Muuguzi mmoja amehukumiwa kwa makosa ya kuwaua wagonjwa wake wawili na kuwapa wengine 20 sumu katika hospitali ya Greater Manchester.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mtoto awaua kwa mapanga wazazi wake, atoweka

Kijana aliyetambulika kwa jina la Yusufu Njau (32) mkazi wa kijiji cha Roo Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, ameuawa kwa kuwakatakata mapanga wazazi wake na kisha kuchoma nyumba moto na kukimbia kusikojulikana.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaiadhibu Polisi Mrwanda awaua ‘waajiri’ wake

Danny Mrwanda akirejea kwa mara ya kwanza kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro akicheza dhidi ya timu yake ya zamani, Polisi ameipa Yanga pointi tatu muhimu na kuipandisha kwa muda hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Simulizi ya muuguzi ambaye hushuhudia saa za mwisho za wagonjwa wa corona

''Wakati mwingine ninahisi kama nahusika na kifo cha mtu,'' anaeleza muuguzi mmoja.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Muuguzi wa Kenya asimulia alivyotengwa kwa kuwahudumia wagonjwa wa corona

Kumekuwa na unyanyapaa dhidi ya wahudumu wa afya wanaoshughulikia wanaougua corona na wale waliopona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Muuguzi wa wagonjwa wa corona ambaye huenda akarejeshwa kwao kwa lazima.

Mahakama ya juu zaidi nchini Marekani inasikiliza kesi ambayo huenda ikaweka maelfu ya watu hasa watoto ambao waliingizwa nchini humo kinyume cha sheria na wazazi wao katika hatari ya kurejeshwa katika nchi zao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.

Coronavirus: Waziri Mkuu wa Uingereza yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mwigulu awanunulia wananchi wake gari la kubebea wagonjwa

DSC07824

Naibu Waziri wa Fedha na Mbunge wa jimbo la Iramba magharibi, Mh. Mwigulu Nchemba akihutubia wapiga kura wake na wananchi wa kata ya Mtoa tarafa ya Shelui ambapo pamoja na mambo mengine, alihimiza ujenzi wa zahanati kwa kila kijiji.

DSC07878

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Kebwe Stephen Kebwe (MB) akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Mgongo tarafa ya Shelui jimbo la Iramba magharibi ambapo amewataka Wakurugenzi wa halmashauri za majiji, manispaa na wilaya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza yahamisha majasusi wake

Uingereza imelazimika kuhamisha majasusi wake baada ya Urusi na China kufanikiwa kupata taarifa za kisiri kuhusu shughuli zao

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbwa atalekezwa na mzigo wake Uingereza

Shirika moja la kutetea wanyama nchini Uingereza linmatafuta mmiliki wa Mbwa aliyepatikana akiwa ametelekezwa katika kituo cha treni nchini Scotland.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani