Mtoto awaua kwa mapanga wazazi wake, atoweka
Kijana aliyetambulika kwa jina la Yusufu Njau (32) mkazi wa kijiji cha Roo Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, ameuawa kwa kuwakatakata mapanga wazazi wake na kisha kuchoma nyumba moto na kukimbia kusikojulikana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_lLITEcPF8o/U8ZiurAkz8I/AAAAAAAF2tU/IsDjezrFA70/s72-c/IMG-20140716-WA0000.jpg)
MTOTO ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-_lLITEcPF8o/U8ZiurAkz8I/AAAAAAAF2tU/IsDjezrFA70/s1600/IMG-20140716-WA0000.jpg)
Tunawaomba Watanzania na watu wote mtusaidie kumtafuta mtoto wetu. Maneno yanayosemwa kwamba kachukuliwa na baba yake si ya kweli kwani mimi ndiye baba yake mzazi na tunaishi pamoja na mke wangu.
Asanteni sana kwa msaada wenu na Mungu awabariki.
![](http://4.bp.blogspot.com/-10qH2Fj-ndk/U8Zj2y52sYI/AAAAAAAF2tg/vAw_5olN6uY/s1600/IMG-20140716-WA0001.jpg)
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Mtoto mkimbizi akutanishwa na wazazi wake
Kijana wa Syria ambaye kutoweka kwake hospitalini mjini Belgrade katika kambi ya wakimbizi barani Ulaya kulizua hisia kali miongoni mwa mitandao ya kijamii ameunganishwa tena na wazazi wake
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wXm8jmQncmA/VjChSF0I61I/AAAAAAAIDKA/wWQW3dD64-8/s72-c/unnamed.png)
Mtoto Amepotea, anatafutwa na wazazi wake
![](http://1.bp.blogspot.com/-wXm8jmQncmA/VjChSF0I61I/AAAAAAAIDKA/wWQW3dD64-8/s1600/unnamed.png)
Miaka: 12, mweupe
Kawaida anaishi na babu mzaa mama yake kijiji cha Kikore wilayani Babati Mkoa wa Manyara. Anasoma Kikore shule ya Msingi darasa la saba.Alitoweka nyumbani kwa babu yake tarehe 16/10/2015, mida ya saa nane mchana akiaga anaelekea sokoni.
Atakayemuona atoe taarifa kituo cha Polisi kilicho karibu nae au piga simu 0717924389 (Asha Mlei – Mama Mzazi; CCBRT, DSM)/0683075536 (Mzee Ally Kature Ally – Babu)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j0YfzuGRgjM/VmlmsipfPoI/AAAAAAAILb0/1iDj4D-tSsg/s72-c/pics%2Bevelina%2Bedwin.jpeg)
MTOTO HUYU ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-j0YfzuGRgjM/VmlmsipfPoI/AAAAAAAILb0/1iDj4D-tSsg/s400/pics%2Bevelina%2Bedwin.jpeg)
Kwa mujibu wa mzazi wa mwanafunzi huyo, Joyce Nchimbi, alisema mtoto huyo alitoweka nyumbani miezi mitatu iliyopita akiwa amevaa nguo hiyo.
Alisema mara ya mwisho alionekana mitaa ya Railways akiwa na wanafunzi wenzake lakini baada ya hapo hajaonekana tena.
Joyce alisema juhudi za kumtafuta mtoto huyo kwa ndugu na jamaa hazikufanikiwa na kutoa taarifa...
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Mtoto akutana na wazazi wake miezi 10 baada ya kuzaliwa
Hatimae wanandoa wamepata fursa ya kukutana na mtoto wao aliyezaliwa na mama wa kukodi
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bkRGK8_6IEA/UxrR5XihF1I/AAAAAAAAhZ0/Dj9FRfIW5Zg/s1600/IMG-20140308-WA0002.jpg?width=640)
MAMA MKUBWA WA MTOTO ALIYEUNGUA MOTO ATOWEKA NA MTOTO HUYO KUSIKO JULIKANA.
Huyu ndiye Mama mkubwa wa mtoto Adolotea Nyavike Bi. Salome Kiegu(35) ambaye ametoweka na mtoto huyo kusiko julikana wakati wasamalia wema wakitaka kutoa misaada kwa nototo huyo. Mtoto Adolotea Njavike(1.4) ambae Kichwa na Kiwiliwili…
5 years ago
BBCSwahili06 May
Mtoto wa miaka mitano akamatwa Marekani akiendesha gari la wazazi wake
Mtoto mwenye umri wa miaka mitano amekamatwa na polisi huko Utah Marekani akiendesha gari la wazazi wake
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WaTcdElurT4/VcTTODG0TAI/AAAAAAAHvNQ/4fGCnEci3Ko/s72-c/Untitled.png)
MSAADA TUTANI: MTOTO NAELIJWA LUTHER KIMBWEREZA AMEPOTEA NA ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-WaTcdElurT4/VcTTODG0TAI/AAAAAAAHvNQ/4fGCnEci3Ko/s640/Untitled.png)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania