Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama awaua wanawe 3 walemavu

Mama anayetuhumiwa kuwaua watoto wake 3 nchini Uingereza amewekwa rumande kwa ukaguzi wa kiakili kabla ya kesi kuanza dhidi yake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Awaua wanawe na kuwaweka ndani ya Jokofu

Mama mmoja amekamatwa kwa kuwafungia wanawe ndani ya jokofu katika jimbo la Detroit nchini Marekani

 

10 years ago

Habarileo

Mama asoma na wanawe

Aisha (katikati nyuma) akiwa na wanae watatu shuleni“TANGU nilipozaliwa mkoani Morogoro mwaka 1990, sikupata nafasi ya kujiunga na masomo maana familia yetu ilikuwa ya kuhama hama na baba hakuonesha nia ya kunisomesha kabisa.”

 

10 years ago

Habarileo

Mama asoma Shule ya Msingi na wanawe watatu

Aisha (katikati nyuma) akiwa na wanae watatu shuleni“TANGU nilipozaliwa mkoani Morogoro mwaka 1990, sikupata nafasi ya kujiunga na masomo maana familia yetu ilikuwa ya kuhama hama na baba hakuonesha nia ya kunisomesha kabisa.”

 

10 years ago

Habarileo

Ajinyonga kupinga dhuluma, mama wanawe wauawa

MKAZI wa Mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro mkoani Manyara, amekufa baada ya kujinyonga kwa kanga, pembeni ya mlango wa chumba chake, nyumbani kwake. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Kaimu Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi wa Polisi Mussa Marambo alimtaja marehemu huyo kuwa ni Patrice Shirima (52) maarufu kwa jina la Manywele.

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: YAMOTO BAND "MKUBWA NA WANAWE" ft. ZENA - MAMA (Download)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mama Kikwete awataka Walemavu kutokumlaumu mwenyezi Mungu kwa Ulemavu wao

unnamed (23)

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimkabidhi Kiongozi wa Kituo cha walemavu cha Raisbura Bwana Mohamed Chitawala baadhi ya vyakula alivyowaletea- mchele, unga, mafuta ya kupikia, sukai, soda na vinginevyo wakati alipotembelea kituo cha walemavu cha Rasibura huko Lindi siku ya Pasaka.

Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi

Watu wenye ulemavu wa viungo wametakiwa  kutosikitika kwanini Mwenyezi Mungu aliwaumba hivyo na kujiona wanyonge bali wajione wako  sawa na watu wengine  kwani  katika maisha ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mama Samia akutana na Wanawake wa UWT, Walemavu na Wajasiriamali mkoa wa Dar kujua changamoto zao

Mgombea Mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan (kushoto), akizungumza katika mkutano uliowakutanisha wanachama wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Wajasiriamali pamoja na wanachama kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu (Shivyawata), baada ya kupokea changamoto zao Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam jana.

Mwenyekiti wa UWT Taifa, Sophia Simba akizungumza katika mkutano huo.

Mmoja wa viongozi kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AKUTANA NA WANAWAKE WA UWT, WALEMAVU NA WAJASIRIAMALI MKOA WA DAR ES SALAAM KUJUA CHANGAMOTO ZAO

 Mgombea Mwenza wa nafasi ya urais kupitia  Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan (kushoto), akizungumza katika mkutano uliowakutanisha wanachama wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Wajasiriamali pamoja na wanachama kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu (Shivyawata), baada ya kupokea changamoto zao Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam leo. Mwenyekiti wa UWT Taifa, Sophia Simba akizungumza katika mkutano huo.
 Mmoja wa viongozi kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu...

 

10 years ago

GPL

WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU

MOROGORO,
Kampuni ya Kibaran Resources inayojihusisha na utafiti wa uchimbaji wa madini ya Uno kwenye Kijiji cha Epanko, imetoa msaada wa baiskeli 30 za walemavu kwa watoto wenye ulemavu katika kata ya Mahenge Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro. Baiskeli hizo zimeundwa maalumu kwa watoto wanaoishi vijijini. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi baiskeli hizo, Grant Pierce, ambaye ni mkurugenzi wa Kampuni ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani