Mama awaua wanawe 3 walemavu
Mama anayetuhumiwa kuwaua watoto wake 3 nchini Uingereza amewekwa rumande kwa ukaguzi wa kiakili kabla ya kesi kuanza dhidi yake
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Awaua wanawe na kuwaweka ndani ya Jokofu
10 years ago
Habarileo06 Jun
Mama asoma na wanawe
“TANGU nilipozaliwa mkoani Morogoro mwaka 1990, sikupata nafasi ya kujiunga na masomo maana familia yetu ilikuwa ya kuhama hama na baba hakuonesha nia ya kunisomesha kabisa.”
10 years ago
Habarileo06 Jun
Mama asoma Shule ya Msingi na wanawe watatu
“TANGU nilipozaliwa mkoani Morogoro mwaka 1990, sikupata nafasi ya kujiunga na masomo maana familia yetu ilikuwa ya kuhama hama na baba hakuonesha nia ya kunisomesha kabisa.”
10 years ago
Habarileo20 Oct
Ajinyonga kupinga dhuluma, mama wanawe wauawa
MKAZI wa Mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro mkoani Manyara, amekufa baada ya kujinyonga kwa kanga, pembeni ya mlango wa chumba chake, nyumbani kwake. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Kaimu Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi wa Polisi Mussa Marambo alimtaja marehemu huyo kuwa ni Patrice Shirima (52) maarufu kwa jina la Manywele.
9 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-8347p9hGQ7I/VnQNHzEkOPI/AAAAAAAAEOw/F_QYyXPjN8Q/s72-c/mama%2Bartwork.png)
NEW MUSIC: YAMOTO BAND "MKUBWA NA WANAWE" ft. ZENA - MAMA (Download)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8347p9hGQ7I/VnQNHzEkOPI/AAAAAAAAEOw/F_QYyXPjN8Q/s600/mama%2Bartwork.png)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Mama Kikwete awataka Walemavu kutokumlaumu mwenyezi Mungu kwa Ulemavu wao
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimkabidhi Kiongozi wa Kituo cha walemavu cha Raisbura Bwana Mohamed Chitawala baadhi ya vyakula alivyowaletea- mchele, unga, mafuta ya kupikia, sukai, soda na vinginevyo wakati alipotembelea kituo cha walemavu cha Rasibura huko Lindi siku ya Pasaka.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Watu wenye ulemavu wa viungo wametakiwa kutosikitika kwanini Mwenyezi Mungu aliwaumba hivyo na kujiona wanyonge bali wajione wako sawa na watu wengine kwani katika maisha ya...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Mama Samia akutana na Wanawake wa UWT, Walemavu na Wajasiriamali mkoa wa Dar kujua changamoto zao
Mgombea Mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan (kushoto), akizungumza katika mkutano uliowakutanisha wanachama wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Wajasiriamali pamoja na wanachama kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu (Shivyawata), baada ya kupokea changamoto zao Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam jana.
Mwenyekiti wa UWT Taifa, Sophia Simba akizungumza katika mkutano huo.
Mmoja wa viongozi kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye...
9 years ago
VijimamboMAMA SAMIA AKUTANA NA WANAWAKE WA UWT, WALEMAVU NA WAJASIRIAMALI MKOA WA DAR ES SALAAM KUJUA CHANGAMOTO ZAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycGpSjRawy16xZhKQZ4dRHkuPJegC3bfb7VwiZehHprWhkWl5cHHKKUAT1J55yupOgQTZIRarnUSdYMWQgz8YWng/wheelchair2.jpg?width=650)
WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU