Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Awaua wanawe na kuwaweka ndani ya Jokofu

Mama mmoja amekamatwa kwa kuwafungia wanawe ndani ya jokofu katika jimbo la Detroit nchini Marekani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mama awaua wanawe 3 walemavu

Mama anayetuhumiwa kuwaua watoto wake 3 nchini Uingereza amewekwa rumande kwa ukaguzi wa kiakili kabla ya kesi kuanza dhidi yake

 

10 years ago

Vijimambo

Kinana kuwaweka kiti moto mawaziri wanne

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana (pichani), ameahidi kuwaweka kitimoto mawaziri wanne ambao wizara zao zimeonekana kutetereka katika kutimiza majukumu yake kwenye mikoa ya Lindi na Mtwara.

Mawaziri hao ni wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo; Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda; Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe na Waziri wa Nchi, ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk. Binilith Mahenge.

Aidha, ametoa mwezi mmoja kuhakikisha kila...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maiti za vichanga kwenye jokofu

Maiti za watoto wachanga zimekutwa kwenye mfuko mweusi wa plastiki wa kutunzia taka na kisha kuwekwa katika jokofu la familia moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jokofu kuwasaidia maskini Saudi Arabia

Mwanamume mmoja mjini Hail, nchini Saudi Aarabia amejitolea na kuweka Jokofu nje ya nyumba yake na kutoa wito kwa majirani kulijaza na vyakula ili kuwasaidia maskini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jokofu la maiti Bunda lapatiwa ufumbuzi

SERIKALI imeeleza kuwa tatizo la jokofu la kuhifadhia maiti lililokuwa limeharibika katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara limetafutiwa ufumbuzi.  Kauli hiyo ilitolewa bungeni mjini hapa jana na Naibu Waziri...

 

10 years ago

BBCSwahili

Muuguzi awaua wagonjwa wake Uingereza

Muuguzi mmoja amehukumiwa kwa makosa ya kuwaua wagonjwa wake wawili na kuwapa wengine 20 sumu katika hospitali ya Greater Manchester.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuaji wa kujitoa mhanga awaua 4 Saudia

Watu wanne wameuwawa baada mlipuaji wa kujitolea mhanga kujilipua nje ya msikiti mmoja wa waislamu washia nchini Saudi Arabia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu mmoja awaua wanajeshi 4 wa Marekani

Mtu mwenye silaha amewaua askari wanne wa jeshi la wanamaji wa Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo mawili ya jeshi hilo katika mji wa Chattanooga, Tennessee.

 

9 years ago

Michuzi

Tume ya Haki za Binadamu yalaani hatua za Viongozi kuwaweka rumande watumishi wa umma kwa makosa ya kinidhamu

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bahame Nyanduga 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani