Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maiti za vichanga kwenye jokofu

Maiti za watoto wachanga zimekutwa kwenye mfuko mweusi wa plastiki wa kutunzia taka na kisha kuwekwa katika jokofu la familia moja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Jokofu la maiti Bunda lapatiwa ufumbuzi

SERIKALI imeeleza kuwa tatizo la jokofu la kuhifadhia maiti lililokuwa limeharibika katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara limetafutiwa ufumbuzi.  Kauli hiyo ilitolewa bungeni mjini hapa jana na Naibu Waziri...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maiti yatumwa kwenye Posta Japan

Polisi nchini Japan wanachunguza kisa cha kushangaza ambapo maiti ya mwanamke aliyeuawa ilitumwa kutoka Osaka hadi Tokyo kwa njia ya posta.

 

9 years ago

GPL

MAITI YA MWANAMKE YAKUTWA KWENYE DIMBWI

  Gresia Chilindo enzi za uhai wake. Na Gregory Nyankaira Gresia Chilindo, 74, mkazi wa Kijiji cha Singu, Kata ya Kukirango, Butiama, mkoani Mara ameokotwa akiwa amefariki dunia ndani ya dimbwi la kunyweshea mifugo lililopo katika kijiji hicho. Kwa mujibu wa mashuhuda, tukio hilo lilitokea Septemba 7, mwaka huu, walisema kwamba, awali bibi kizee huyo aliondoka nyumbani kwake Septemba 6 na kwenda mnadani Kiabakari kutafuta...

 

10 years ago

BBCSwahili

Awaua wanawe na kuwaweka ndani ya Jokofu

Mama mmoja amekamatwa kwa kuwafungia wanawe ndani ya jokofu katika jimbo la Detroit nchini Marekani

 

11 years ago

BBCSwahili

Jokofu kuwasaidia maskini Saudi Arabia

Mwanamume mmoja mjini Hail, nchini Saudi Aarabia amejitolea na kuweka Jokofu nje ya nyumba yake na kutoa wito kwa majirani kulijaza na vyakula ili kuwasaidia maskini.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MAITI YAOKOTWA KWENYE MAJI MACHAFU KARIBU NA KIWANDA CHA KAHAWA (COFFEE CURING), MKOANI KILIMANJARO MUDA HUU

Maiti ya Mwanaume anayekadirikiwa kuwa na Umri kati ya miaka 25-35, imeokotwa asubuhi ya leo katika Mfereji wa Maji uliopo jirani na kiwanda cha kukoboa Kahawa (Coffee Curing), maeneo ya Majengo Fire, wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro.  Baadhi ya wananchi wakishangaa maiti ya mwanaume huyo (haupo pichani) ambaye jina lake na wapi na chanzo cha kifo chake bado hakijajulikana  Huu ndio mfereji ambako mwili wa mtu asiyejulikana ulikokutwa leo asubuhi Wananchi wakishiriki kuupakiza mwili huo...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukimwi kwa vichanga; changamoto kubwa kwa jamii

>Ni mapema asubuhi katika kibaraza cha Hospitali ya Wilaya ya Tanga iliyoko Ngamiani, makumi ya kinamama wajawazito wameanza kuchukua nafasi katika benchi la kuingia katika chumba cha ushauri nasaha na upimaji wa virusi vya Ukimwi (VVU) kabla ya kuendelea na huduma nyingine za uzazi.

 

11 years ago

Michuzi

LG YAZINDUA JOKOFU LENYE UWEZO WA KUTUNZA UBARIDI KWA MUDA WA MASAA 7

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania, Mayur Parikh ambao ni wasambazaji bidhaa za LG, akiwa na Meneja Masoko wa LG, Shakti Vellu (kulia) pamoja na mfanyakazi wa kampuni hiyo wakizindua jokofu lenye uwezo wa kuhifadhi ubaridi kwa muda mrefu. Uzinduzi huo ulifanyika leo jijini Dar es Salaam.   Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania, Mayur Parikh ambao ni wasambazaji bidhaa za LG, akifungua jokofu hilo mbele ya waandishi wa habari ambao hawapo pichani....

 

11 years ago

GPL

LG YAZINDUA JOKOFU LENYE UWEZO WA KUTUNZA UBARIDI KWA MUDA WA MASAA 7‏

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania, Mayur Parikh ambao ni wasambazaji bidhaa za LG, akiwa na Meneja Masoko wa LG, Shakti Vellu (kulia) pamoja na mfanyakazi wa kampuni hiyo wakizindua jokofu lenye uwezo wa kuhifadhi ubaridi kwa muda mrefu. Uzinduzi huo ulifanyika leo jijini Dar es Salaam.
 Zoezi la kuzindua likiwa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani