Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jokofu kuwasaidia maskini Saudi Arabia

Mwanamume mmoja mjini Hail, nchini Saudi Aarabia amejitolea na kuweka Jokofu nje ya nyumba yake na kutoa wito kwa majirani kulijaza na vyakula ili kuwasaidia maskini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Houthi washambulia Saudi Arabia

Saudi Arabia inasema kuwa imezuia makombora yaliyofyatuliwa kutoka nchini Yemen kwenda ardhi yake na waasi wa Houthi

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama azuru Saudi Arabia

Rais wa Marekani Barack Obama yuko chini Saudi Arabia kufuta ati ati kuhusu uhusiano wa mataifa hayo mawili .

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudi Arabia yawahukumu wanasheria

Mahakama nchini Saudi Arabia imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitano mpaka nane kwa wanasheria wa tatu nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Tumehitimisha mashambulizi:Saudi Arabia

Saudi Arabia imesema imehitimisha Kampeni za mashambulizi dhidi ya Waasi wa kihuthi nchini Yemen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Buriani kwa mfalme wa Saudi Arabia

Mazishi ya mfalme wa Saudi Arabia Abdulla ambaye aliaga dunia hii leo yamefanyika katika mji mkuu wa Saudi Arabia,Riyadh

 

10 years ago

Mtanzania

Mfalme wa Saudi Arabia afariki dunia

RIYADH, Saudi Arabia
MFALME wa Saudi Arabia, Abdullah bin Abdul-Aziz Al Saud (90), amefariki dunia jana na cheo chake kurithiwa mara moja na mdogo wake, Salman (79).
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la DW, Ofisi ya Kifalme haijataja sababu ya kifo cha Mfalme Abdullah, lakini habari zaidi zinadai kuwa kiongozi huyo alilazwa hospitali tangu Desemba mwaka jana kutokana na kusumbuliwa na homa ya mapafu ambapo kwa muda wote tangu akiwa hospitali alipumua kwa msaada wa mashine.
Mfalme Abdullah bin...

 

11 years ago

BBC

'Ebola victim' dies in Saudi Arabia

Saudi authorities say a man being treated for Ebola-like symptoms has died after visiting Sierra Leone, as the death toll from the outbreak passes 900.

 

9 years ago

BBCSwahili

25 watekea katika hospitali Saudi Arabia

Takriban watu 25 wameuwa na zaidi ya 100 kujeruhiwa kwenye mkasa wa moto katika hospitali moja iliyo mji wa Jazan nchini Saudi Arabia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Saudi Arabia yakataza vibarua juani

Saudi Arabia yabadilisha sheria kukataza vibarua kufanya kazi katika jua kali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani