Mtu mmoja awaua wanajeshi 4 wa Marekani
Mtu mwenye silaha amewaua askari wanne wa jeshi la wanamaji wa Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo mawili ya jeshi hilo katika mji wa Chattanooga, Tennessee.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vFrhOHBMvXE/Xtj2JPPH9dI/AAAAAAALsoY/9MX4lQk1ONIMjPoJ_uhDDF3vd_iLtZPtwCLcBGAsYHQ/s72-c/b52d1324-d326-4b35-bd3b-4a7d82bc1cc0.jpg)
UVUTAJI WA TUMBAKU UNA ATHARI KIUCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA ANAYETUMIA
Na WAMJW-Dodoma
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako hatarini kuyumba kiuchumi na kupata magonjwa yasiyoambukizwa kama tahadhari hazitachukuliwa mapema.
Waziri Ummy amesema hayo leo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa matumizi ya tumbaku kwa watu wazima wa mwaka 2018 nchini uliofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Takwimu jijini Dodoma.
Waziri Ummy amesema utafiti huo umeonesha...
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Mtu mmoja amechinjwa Ufaransa
Mtu mmoja amechinjwa na mwengine akajeruhiwa vibaya baada ya shambulizi la kiislamu katika mji wa Lyon Ufaransa.
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Wanajeshi wauawa Marekani
Mtu mwenye silaha amewaua askari 4 wa jeshi la wanamaji wa Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo ya jeshi hilo.
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Zanzibar;Bomu lamuua mtu mmoja
Mtu mmoja ameripotiwa kufariki huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulizi la bomu kisiwani Zanzibar.
11 years ago
BBCSwahili24 Dec
Majeshi ya AU yaua mtu mmoja CAR
Majeshi ya Umoja wa Afrika yamewafyatulia risasi waandamanaji katika Jamhuri ya Afrika ya Kati na kumuua mtu mmoja
10 years ago
BBCSwahili21 May
Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura
Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura.
11 years ago
BBCSwahili28 Dec
Libya yawaachia wanajeshi wa Marekani
Makao Makuu ya Ulinzi nchini Marekani, Pentagon imesema wanajeshi wake wanne waliokuwa wakishikiliwa waameachiwa Libya.
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Wanajeshi wa Marekani wafutwa kazi
Wajeshi 9 wa kambi ya Kinyuklia watimuliwa kwa kudanganya katika mtihani wao
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Marekani yawaua wanajeshi wa Afghanistan
Askari 8 wa Afghanistan wamekufa katika shambulizi la anga la Marekani kwenye kituo cha kijeshi cha ukaguzi katika jimbo la Logar
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania