Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Libya yawaachia wanajeshi wa Marekani

Makao Makuu ya Ulinzi nchini Marekani, Pentagon imesema wanajeshi wake wanne waliokuwa wakishikiliwa waameachiwa Libya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 5 wauawa Benghazi, Libya

Wanajeshi watano wameuawa katika shambulizi la bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari karibu na kambi ya jeshi

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Libya wafukuzwa Uingereza

Wanajeshi zaidi ya 300 wafukuzwa Uingereza kutokana na ubakaji,wengine wamepandishwa kizimbani wakikabiliwa na kesi za ubakaji,

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wauawa Marekani

Mtu mwenye silaha amewaua askari 4 wa jeshi la wanamaji wa Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo ya jeshi hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Marekani wafutwa kazi

Wajeshi 9 wa kambi ya Kinyuklia watimuliwa kwa kudanganya katika mtihani wao

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yawaua wanajeshi wa Afghanistan

Askari 8 wa Afghanistan wamekufa katika shambulizi la anga la Marekani kwenye kituo cha kijeshi cha ukaguzi katika jimbo la Logar

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yawaondoa wanajeshi wake Yemen

Wizara ya mashauri ya kigeni Marekani imethibitisha kuwa wanajeshi wote wa Marekani waliokuwa wamebaki nchini Yemen wamondolewa

 

9 years ago

BBCSwahili

Muungano wa Marekani waua wanajeshi wa Iraq

Shambulio la angani la majeshi ya muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya wapiganaji wa Islamic State (IS) huenda limewaua wanajeshi wa Iraq.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kufuta kazi baadhi ya wanajeshi

Vyombo vya habari nchini Marekani vimeripoti kuwa jeshi la marekani limethibitisha kupunguza wanajeshi wake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani