Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wa Libya wafukuzwa Uingereza

Wanajeshi zaidi ya 300 wafukuzwa Uingereza kutokana na ubakaji,wengine wamepandishwa kizimbani wakikabiliwa na kesi za ubakaji,

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Libya yawaachia wanajeshi wa Marekani

Makao Makuu ya Ulinzi nchini Marekani, Pentagon imesema wanajeshi wake wanne waliokuwa wakishikiliwa waameachiwa Libya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 5 wauawa Benghazi, Libya

Wanajeshi watano wameuawa katika shambulizi la bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari karibu na kambi ya jeshi

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Uingereza kwenda Sierra Leone

Uingereza inapeleka askari 750 kwenda Sierra Leone kusaidia kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza kutuma wanajeshi wake Somalia

Uingereza imetangaza kwamba itawatuma wanajeshi wake Somalia kusaidia wanajeshi wa Muungano wa Afrika wanaolinda amani huko.

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya:Uingereza kuufunga ubalozi wake.

Uingereza inatarajiwa kuufunga ubalozi wake kwa mda katika mji mkuu wa Tripoli nchini Libya kufuatia mapigano makali

 

11 years ago

Habarileo

Polisi 4 wafukuzwa kazi

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaASKARI polisi wanne jijini Dar es Salaam wamefukuzwa kazi, kutokana na kile kilichodaiwa ni kujihusisha na vitendo vya uhalifu.

 

5 years ago

Mwananchi

Marafiki wa NASA wafukuzwa Kenya

Kiongozi wa Nasa na mgombea nafasi ya Seneta Kaunti ya Siaya amesema marafiki zao kutoka nje ya nchi wamefukuzwa nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliodanganya mtihani wafukuzwa India

Nchini India wanafunzi wengi pamoja na wazee wafukuzwa shule au wakamatwa kwa kufanya udanganyifu kwenye mitihani

 

10 years ago

Habarileo

Watumishi 1,200 wafukuzwa kazi

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Kassim MajaliwaJUMLA ya watumishi 1,205 wamechukuliwa hatua mbalimbali na Serikali, ikiwa ni pamoja na kufukuzwa kazi, kwa makosa ya ubadhirifu wa fedha za umma, kati ya mwaka 2010/11 na 2014/15.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani