Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliodanganya mtihani wafukuzwa India

Nchini India wanafunzi wengi pamoja na wazee wafukuzwa shule au wakamatwa kwa kufanya udanganyifu kwenye mitihani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Polisi 4 wafukuzwa kazi

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaASKARI polisi wanne jijini Dar es Salaam wamefukuzwa kazi, kutokana na kile kilichodaiwa ni kujihusisha na vitendo vya uhalifu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Trafiki kumi wafukuzwa kazi

JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limewafukuza kazi askari wake 10 kwa kosa la kwenda kinyume cha kanuni na  sheria za jeshi hilo. Akizungumza na waandishi wa habari  jijini...

 

5 years ago

Mwananchi

Marafiki wa NASA wafukuzwa Kenya

Kiongozi wa Nasa na mgombea nafasi ya Seneta Kaunti ya Siaya amesema marafiki zao kutoka nje ya nchi wamefukuzwa nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Libya wafukuzwa Uingereza

Wanajeshi zaidi ya 300 wafukuzwa Uingereza kutokana na ubakaji,wengine wamepandishwa kizimbani wakikabiliwa na kesi za ubakaji,

 

10 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wafukuzwa kwa wizi

MWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Ilunda, Wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Daudi Isaya na viongozi wengine wawili wamevuliwa madaraka yao kutokana na tuhuma za kuhusika na wizi wa milango...

 

10 years ago

Mtanzania

Trafiki watatu wafukuzwa kazi

traffic mapenziNA RENATHA KIPAKA, BUKOBA

JESHI la Polisi mkoani Kagera limewafukuza kazi askari wake watatu kwa kulifedhehesha jeshi hilo kutokana na kitendo cha kupiga picha inayowaonyesha wawili kati yao wakinyonyana ndimi wakiwa kazini.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, alisema kitendo kilichofanywa na askari hao kimeshusha hadhi ya jeshi.

Aliwataja askari hao waliofukuzwa ni F.7788 PC Mpaji Mwasumbi, G 2122 PC Fadhili Linga na WP.8898 Veronica...

 

10 years ago

Habarileo

Watumishi 1,200 wafukuzwa kazi

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Kassim MajaliwaJUMLA ya watumishi 1,205 wamechukuliwa hatua mbalimbali na Serikali, ikiwa ni pamoja na kufukuzwa kazi, kwa makosa ya ubadhirifu wa fedha za umma, kati ya mwaka 2010/11 na 2014/15.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania wanaosoma Kenya wafukuzwa

Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe.KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mamia ya wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma katika shule za msingi nchini Kenya, wameripotiwa kufukuzwa nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wafukuzwa kwa rushwa Uturuki

Polisi waandamizi watano nchini Uturuki wamefukuzwa kazi kutokana na tuhuma vitendo vya rushwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani