Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Libya:Uingereza kuufunga ubalozi wake.

Uingereza inatarajiwa kuufunga ubalozi wake kwa mda katika mji mkuu wa Tripoli nchini Libya kufuatia mapigano makali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ubalozi wa K Kusini washambuliwa Libya

Watu wasiojulikana wameushambulia ubalozi wa Korea Kusini kwenye mji mkuu wa Libya Tripoli ambapo walinzi waliuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utaliana yafunga Ubalozi Libya

Ubalozi wa mwisho wa nchi ya Ulaya nchini Libya wafungwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yafunga ubalozi Libya

Marekani imeamua kufunga ubalozi wake mjini Tripoli ulio karibu na uwanja wa ndege ambako mapigano ni makali

 

11 years ago

BBCSwahili

Saudi Arabia yafunga ubalozi Libya

Ubalozi wa Saudi Arabia umefunga ofisi zake mjini Tripoli kutokana na otovu wa usalama nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Libya wafukuzwa Uingereza

Wanajeshi zaidi ya 300 wafukuzwa Uingereza kutokana na ubakaji,wengine wamepandishwa kizimbani wakikabiliwa na kesi za ubakaji,

 

10 years ago

Vijimambo

UBALOZI WA UINGEREZA WAKABIDHI VIFAA VYA USALAMA NA KUTOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA (TCAA)

Acting High Commissioner, Ms Penny Smith hands over aviation security equipment to Director General of Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA), Mr. Charles ChachaActing High Commissioner, Ms. Penny Smith hands over a certificate to one of the participant of the training course.Acting High Commissioner, Ms Penny Smith giving her keynote address during closing of training course and handling of aviation security equipments along side are Vicky Hutchinson (RASLO) and TCAA Director General, Mr...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kufungua ubalozi wake Cuba

Marekani inasema kuwa itafungua ubalozi wake nchini Cuba kuanzia mwezi Aprili.

 

10 years ago

GPL

MAREKANI YAFUNGA UBALOZI WAKE MJINI BUJUMBURA-BURUNDI

Jengo la ubalozi wa Marekani nchini Burundi lililopo mjini Bujumbura. Ubalozi wa malekani nchini Burundi. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Jeff Rathke. Serikali ya Marekani kupitia Wizara yake ya Mambo ya Nje imetangaza kufunga ubalozi wake wa mjini Bujumbura,…

 

10 years ago

Vijimambo

AWADH ZUBERI NA UJUMBE WAKE WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC

 Mkurugenzi na mmiliki wa kampuni ya urban and rular engineering ndugu Awadh Zuberi pamoja na ujumbe wake pichani wamemtembelea Balozi Liberata Mulamula, Kuanzia kushoto ni  ndugu Paul Mwafongo (Afisa Ubalozi uchumi),Bwn. Joseph Mnzanilla ,Mh.Bbalozi Mulamula,Bwn. Awadh Zuberi,Shemuni Halahala pamoja na ndugu Majid Zuberi wakiwa katika picha ya pamoja.Mkurugenzi wa Urban and Rular  Engineering wa kwanza kulia ndugu Awadh  Zuberi na msaidizi wake Shemuni Halahala wakiwasili  Tanzania house...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani