Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani kufungua ubalozi wake Cuba

Marekani inasema kuwa itafungua ubalozi wake nchini Cuba kuanzia mwezi Aprili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na Cuba kufungua balozi

Kila nchi imekubali kufungua afisi ya ubalozi katika miji mikuu yao.Ni hatua kubwa katika kurejesha uhusiano kati pande mbili

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubalozi wa marekani wafunguliwa Cuba

Sherehe za ufunguzi wa ubalozi wa Marekani huko Cuba zimefanyika mjini Havana baada ya kuvunjika uhusiano yapata miaka 50 iliyopita

 

10 years ago

GPL

MAREKANI YAFUNGA UBALOZI WAKE MJINI BUJUMBURA-BURUNDI

Jengo la ubalozi wa Marekani nchini Burundi lililopo mjini Bujumbura. Ubalozi wa malekani nchini Burundi. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Jeff Rathke. Serikali ya Marekani kupitia Wizara yake ya Mambo ya Nje imetangaza kufunga ubalozi wake wa mjini Bujumbura,…

 

11 years ago

Michuzi

CRDB YAKABIDHI MCHANGO WAKE KWA UBALOZI WA TANZANIA NCHI MAREKANI


 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Dr. Charles Kimei (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bwn. Martin Mmari kwenye kikao cha makabidhiano ya mchango wa CRDB kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya sherehe ya miaka 50 ya Muungano itakazoadhimishwa kitaifa Washington, DC April 26, 2014 CRDB kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ilimkabidhi Mhe. Liberata Mulamula fedha taslimu za Kimarekani...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA KUFUNGUA UBALOZI KUWAIT

Waziri Membe akimtambulisha kwa Mhe. Skeikh Sabah Al-Khalid Al-Sabah, Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Mhe. Skeikh Sabah Al-Khalid Al-Sabah, Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait. Waziri Membe alifanya ziara ya siku moja...

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania kufungua ubalozi Algeria

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kuwa Tanzania itafungua Ubalozi nchini Algeria, kwa nia ya kuimarisha mahusiano thabiti ya kirafiki na ya kihistoria tangu yalipoanzishwa na waanzilishi wa mataifa hayo, Hayati Julius Kambarage Nyerere na Hayati Ahmed Ben Bella.

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania kufungua Ubalozi nchini Kuwait

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Mhe. Skeikh Sabah Al-Khalid Al-Sabah,  Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait. Waziri Membe alifanya ziara ya siku moja nchini humo tarehe 14 Aprili, 2015 kwa lengo la kuimarisha ushirikiano baina ya nchi hizi mbili.
 Waziri Membe akimtambulisha kwa Mhe. Skeikh Sabah Al-Khalid Al-Sabah,  Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Mkurugenzi wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Israel kufungua ubalozi milki za kiarabu

Israel imesema kuwa itafungua afisi za kibalozi katika milki za kiarabu ingawa mataifa hayo mawili hayana uhusiano wa kibalozi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yailegezea Cuba vikwazo

Rais wa Marekani Barack Obama amezungumza na rais wa Cuba Raul Castro muda mfupi baada ya marekani kulegeza vikwazo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani