Marekani kufungua ubalozi wake Cuba
Marekani inasema kuwa itafungua ubalozi wake nchini Cuba kuanzia mwezi Aprili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Marekani na Cuba kufungua balozi
Kila nchi imekubali kufungua afisi ya ubalozi katika miji mikuu yao.Ni hatua kubwa katika kurejesha uhusiano kati pande mbili
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Ubalozi wa marekani wafunguliwa Cuba
Sherehe za ufunguzi wa ubalozi wa Marekani huko Cuba zimefanyika mjini Havana baada ya kuvunjika uhusiano yapata miaka 50 iliyopita
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pHhBdYiNnuIalx21XIuFjsawGRQF26l61MzENlF8WOwJJqSthChfiwuyElWmGJPTTqDATjfcJcEXJnpBN5jX3LcXyIJmtfPH/burundi1.png?width=650)
MAREKANI YAFUNGA UBALOZI WAKE MJINI BUJUMBURA-BURUNDI
Jengo la ubalozi wa Marekani nchini Burundi lililopo mjini Bujumbura. Ubalozi wa malekani nchini Burundi. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Jeff Rathke. Serikali ya Marekani kupitia Wizara yake ya Mambo ya Nje imetangaza kufunga ubalozi wake wa mjini Bujumbura,…
11 years ago
MichuziCRDB YAKABIDHI MCHANGO WAKE KWA UBALOZI WA TANZANIA NCHI MAREKANI
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Dr. Charles Kimei (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bwn. Martin Mmari kwenye kikao cha makabidhiano ya mchango wa CRDB kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya sherehe ya miaka 50 ya Muungano itakazoadhimishwa kitaifa Washington, DC April 26, 2014 CRDB kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ilimkabidhi Mhe. Liberata Mulamula fedha taslimu za Kimarekani...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Pgsu-7AJn7w/VS4uX-5DVjI/AAAAAAADibc/TW94gLzoEvA/s72-c/Kuwait%2B5.jpg)
TANZANIA KUFUNGUA UBALOZI KUWAIT
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pgsu-7AJn7w/VS4uX-5DVjI/AAAAAAADibc/TW94gLzoEvA/s1600/Kuwait%2B5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6QcPP1YxXh4/VS4uXx2J5FI/AAAAAAADibY/GkEqatOYUZs/s1600/Kuwait%2B7.jpeg)
10 years ago
Habarileo13 May
Tanzania kufungua ubalozi Algeria
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kuwa Tanzania itafungua Ubalozi nchini Algeria, kwa nia ya kuimarisha mahusiano thabiti ya kirafiki na ya kihistoria tangu yalipoanzishwa na waanzilishi wa mataifa hayo, Hayati Julius Kambarage Nyerere na Hayati Ahmed Ben Bella.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ud18-y9pBgA/VS5K_Cf3LTI/AAAAAAAHRR4/cUZjqhqJflU/s72-c/Kuwait%2B7.jpeg)
Tanzania kufungua Ubalozi nchini Kuwait
![](http://1.bp.blogspot.com/-ud18-y9pBgA/VS5K_Cf3LTI/AAAAAAAHRR4/cUZjqhqJflU/s1600/Kuwait%2B7.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--S_tCmODwAc/VS5LBiqXU9I/AAAAAAAHRSE/RJX3EWTIMqY/s1600/Kuwait%2B5.jpg)
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Israel kufungua ubalozi milki za kiarabu
Israel imesema kuwa itafungua afisi za kibalozi katika milki za kiarabu ingawa mataifa hayo mawili hayana uhusiano wa kibalozi.
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Marekani yailegezea Cuba vikwazo
Rais wa Marekani Barack Obama amezungumza na rais wa Cuba Raul Castro muda mfupi baada ya marekani kulegeza vikwazo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania