Tanzania kufungua ubalozi Algeria
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kuwa Tanzania itafungua Ubalozi nchini Algeria, kwa nia ya kuimarisha mahusiano thabiti ya kirafiki na ya kihistoria tangu yalipoanzishwa na waanzilishi wa mataifa hayo, Hayati Julius Kambarage Nyerere na Hayati Ahmed Ben Bella.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
TANZANIA KUFUNGUA UBALOZI KUWAIT


10 years ago
Michuzi
Tanzania kufungua Ubalozi nchini Kuwait


10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Marekani kufungua ubalozi wake Cuba
Marekani inasema kuwa itafungua ubalozi wake nchini Cuba kuanzia mwezi Aprili.
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Israel kufungua ubalozi milki za kiarabu
Israel imesema kuwa itafungua afisi za kibalozi katika milki za kiarabu ingawa mataifa hayo mawili hayana uhusiano wa kibalozi.
11 years ago
Michuzi
MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) 25 -31 JULAI 2014

Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau...
11 years ago
Michuzi.png)
MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) KUANZA 25 -31 JULAI 2014
.png)
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau mbalimbali...
11 years ago
Michuzi.jpg)
ujumbe wa ubalozi mdogo wa malawi Dubai watembelea ubalozi mdogo wa tanzania Dubai
Mheshimiwa Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania,Dubai leo AMEKUTANA NA MHESHIMIWA GELINA, BALOZI MDOGO WA MALAWI, DUBAI NA UJUMBE WAKE KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NJE YA MALAWI.
Mheshimiwa Omar Mjenga akiwa katika picha ya pamoja na wageni wake. Kulia kwake ni Mheshimiwa Bi Gelina Balozi Mdogo wa Malawi. Na kulia kwa Mheshimiwa Gelina ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu (DAP) kutoka wizara ya mambo ya nje ya Malawi. Kushoto kabisa mwa picha ni Mhasibu Mkuu wa wizara hiyo na kulia...
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
MKURENZI WA UTAWALA WA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA UBELIGIJI
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON DC
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman ametembelea Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC, Marekani, na kufanya mazungumzo na wafanyakazi wa Ubalozi huo Ubalozini hapo Tanzania House. Katika mazungumzo yake hayo, Mhe. Chande, ambaye yuko Marekani katika ziara ya kikazi na ujumbe wake, aliwaeleza watumishi wa Ubalozi namna mihimili mitatu ya dola inavyofanya kazi pamoja na mipaka yake. Alibainisha kwamba Tanzania inajivunia mahusiano mazuri yaliyopo baina...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania