Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani na Cuba kufungua balozi

Kila nchi imekubali kufungua afisi ya ubalozi katika miji mikuu yao.Ni hatua kubwa katika kurejesha uhusiano kati pande mbili

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kufungua ubalozi wake Cuba

Marekani inasema kuwa itafungua ubalozi wake nchini Cuba kuanzia mwezi Aprili.

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI SEFUE KUFUNGUA RASMI MKUTANO WA BARAZA LA DICOTA MJINI DURHAM, MAREKANI

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula na Viongozi wa Baraza la Watanzania waishio Marekani (DICOTA) (hawapo pichani) mara baada ya kukutana nao Hotelini kwake kwa ajili ya kupata taarifa za maandalizi ya Mkutano wa Mwaka wa Baraza hilo atakaoufungua leo tarehe 03 Oktoba, 2014 mjini Durham, North Carolina.Balozi Mulamula, Viongozi wa DICOTA pamoja na Maafisa kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani wakimsikiliza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yafanya mazungumzo na Cuba

Mkutano wa kimataifa unaowaleta pamoja mawaziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani na Cuba, unafanyika leo Panama.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Cuba ziarani Marekani

Rais wa Cuba amewasili mjini New York, ikiwa ni mara ya kwanza kuwasili nchini Marekani katika kipindi cha miaka 15 iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Cuba yatafuta mwafaka na Marekani

Cuba ina matumaini ya kurejesha uhusiano na Marekani baada ya kuwekewa vikwazo

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na Cuba warejesha ushirikiano

Maafisa wa marekani wanasema Marekani na Cuba imefikia makubaliano ya kufungua upya ubalozi mjini Washington na Havana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cuba na Marekani kuivunja historia?

Marekani na Cuba zimetangaza kukomesha uhasama wa miaka hamsini na kufungua mwanya wa mazungumzo ya kidiplomasia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cuba kuondolewa vikwazo na Marekani?

Rais wa Cuba, Raul Castro, amemhimiza rais Obama wa Marekani kutumia mamlaka yake ya urais kuondoa vikwazo vya kiuchumi

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubalozi wa marekani wafunguliwa Cuba

Sherehe za ufunguzi wa ubalozi wa Marekani huko Cuba zimefanyika mjini Havana baada ya kuvunjika uhusiano yapata miaka 50 iliyopita

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani