Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais wa Cuba ziarani Marekani

Rais wa Cuba amewasili mjini New York, ikiwa ni mara ya kwanza kuwasili nchini Marekani katika kipindi cha miaka 15 iliyopita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI MAREKANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa jana, Jumatatu, Septemba 15, 2014, kuanza ziara ya wiki mbili katika Marekani ambapo atahutubia Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN General Assembly) New York.
Mbali na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Rais Kikwete pia atahudhuria mikutano muhimu katika mji mkuu wa Marekani, Washington, D.C.
Mjini New York, Rais Kikwete atashiriki katika mikutano...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS BARACK OBAMA WA MAREKANI ZIARANI JIMBO LA ALABAMA

 Dullah Msangi (katikati) akiwa miongoni mwa wageni walioalikwa kusikiliza risala ya Rais Barack Obama katika jimbo la Birmingham, Alabama. Kadi maalum ya mwaliko wa kuhudhuria risala hiyo. Rais Barack Obama akiwasili ndani ya Air Force One katika jimbo la Alabama.Kwa habari zaidi bofya SOMA ZAIDI

Vifaa vinavyong'aa ni Electronic Countermeasures katika Air Force One. Vilionekana baada ya ndege hiyo kubwa na ya kipekee kutua katika uwanja wa Birmingham jimboni Alabama.Rais Barack Obama...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE ZIARANI MAREKANI KWA MWALIKO WA UMOJA WA MATAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili, Machi 29, 2015 amewasili jijini New York, Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amefunguia rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, na Jumatatu Machi 30, 2015 amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC - UN). Rais Kikwete akilakiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yailegezea Cuba vikwazo

Rais wa Marekani Barack Obama amezungumza na rais wa Cuba Raul Castro muda mfupi baada ya marekani kulegeza vikwazo

 

10 years ago

BBCSwahili

Cuba kuondolewa vikwazo na Marekani?

Rais wa Cuba, Raul Castro, amemhimiza rais Obama wa Marekani kutumia mamlaka yake ya urais kuondoa vikwazo vya kiuchumi

 

11 years ago

BBCSwahili

Cuba yatafuta mwafaka na Marekani

Cuba ina matumaini ya kurejesha uhusiano na Marekani baada ya kuwekewa vikwazo

 

10 years ago

BBCSwahili

Cuba na Marekani kuivunja historia?

Marekani na Cuba zimetangaza kukomesha uhasama wa miaka hamsini na kufungua mwanya wa mazungumzo ya kidiplomasia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubalozi wa marekani wafunguliwa Cuba

Sherehe za ufunguzi wa ubalozi wa Marekani huko Cuba zimefanyika mjini Havana baada ya kuvunjika uhusiano yapata miaka 50 iliyopita

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na Cuba kuimarisha uhusiano

Msaidizi wa waziri wa mambo ya nje wa Marekani,Roberta Jacobson,ataongoza msafara kutoka nchini mwake kuelekea Havana Cuba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani